• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe ya ofisi |
Tanganyika District Council
Tanganyika District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tanganyika District Council

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasissi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu, ufuatiliaji na Uchumi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Elimu Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Kitengo
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Miradi ya Elimu
    • Usafirishaji
    • Ufugaji Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Leseni za Biashara
    • Uvuvi
    • Ufugaji Nyuki
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Matumizi Bora ya Ardhi
    • Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Kitaifa
    • Video za Shughuli za Halmashauri
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Gazeti la Mpanda Leo
    • Makala Mbalimbali

WATUMISHI WA UMMA WATAKIWA KUWAJIBIKA USIMAMIZI WA RASILIMALI ZA UMMA| DC BUSWELU AZINDUA MRADI WA RAIA MAKINI.

Posted on: July 25th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Tanganyika Mhe. Onesmo Buswelu amewataka watendaji wa serikali ambao wanasimamia miradi na fedha za serikali, kuwa wazalendo na kuwajibika ipasavyo kwenye usimamizi wa rasilimali za umma.


Mhe Buswelu ameyasema hayo leo wakati wa uzinduzi wa mradi wa “RAIA MAKINI”, ambao umefanyika katika ukumbi wa Halmashauri, akiaambatana na KUU Wilaya, Katibu Tawala wa Wilaya ya Tanganyika Bw. Lincoln Tamba, Afisa Tarafa wa Kabungu Alison Uisso, Afisa Tarafa wa Mwese Alex John, Kaimu Mkurugenzi wa H/W ya Tanganyika na Afisa Mipango Deus Luziga,  Katibu Mtendaji TOSOVC Ndg George Kasabwe, pamoja na Mkurugenzi wa Taasisi ya TUPAFO Bwa Alan Kondowe.

“Mradi huu wa RAIA MAKINI, unaenda kutekelezeka huko chini kwenye serikali za vijiji, na unahusu Raia Makini na miongoni mwa watumishi hivyo nimeuzindua mradi huu na niwatake mkafanye yale yanayowahusu na mengine yasiyo kwenye mipango yenu yaacheni kamayalivyo” DC Buswelu

“Lakini pia pamoja na kuzindua mradi huu ila sifurahishwi kwa sababu wanakuja kufanya yale ambayo sisi na ninyi yamewashinda kutekeleza, hii iwe chachu ya ninyi kuwajibika kwenye kazi zenu na kutimiza majukumu yenu kwa uzalendo” Amesema Mhe Onesmo Buswelu.


Aidha kwa upande wa wasimamizi wa mradi huu wa RAIA MAKINI, kutoka Taasisi ya kusaidia watoto yatima na wanaoishi Mazingira hatarishi (TOSOVC) Bw George Kasabwe amesema kwamba mradi huu unatarajia kuelimisha wananchi wapatao milioni tatu (3), kitaifa ambapo kwa Wilaya ya Tanganyika watapita katika vijiji vya Kabanga, Mganza vilevile na maeneo yaliyotajwa na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali CAG, ambayo ni Kasekese na Mwese.


Nae Mkurugenzi wa Taasisi ya TUPAFO Bw, Alan Kondowe amesema kwamba dhamira ya mradi huu ni kuimarisha uwajibikaji na uwazi katika usimamizi wa fedha za umma, ambapo walengwa wakubwa ni wananchi, hususani wanawake, vijana na watu wenye ulemavu, ambao ni walengwa wakuu wa maendeleo.


Akimwakilisha Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Bw Shaban J. Juma, Afisa Mipago Bw Deus Luziga amesema kwamba Halmashauri itatoa ushirikiano wa kutosha kwa Taasisi hizo, hadi kukamilika kwa mradi huo ambao utakuwa wa miezi 18 kwa hapa Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika.

Matangazo

  • WALIOITWA KWENYE USAILI WA NAFASI YA WATENDAJI WA KIJIJI III July 07, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA May 27, 2025
  • WALIOITWA KWENYE USAILI WA NAFASI ZA DEREVA II, KATIBU MAHSUSI III NA WATENDAJI WA KIJIJI III July 07, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA TANGANYIKA July 16, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • WATUMISHI WA UMMA WATAKIWA KUWAJIBIKA USIMAMIZI WA RASILIMALI ZA UMMA| DC BUSWELU AZINDUA MRADI WA RAIA MAKINI.

    July 25, 2025
  • MIRADI 106 YATEMBELEWA NA CMT| IMO YA AFYA & ELIMU| MAELEKEZO YATOLEWA KUKAMILISHA KWA WAKATI.

    July 22, 2025
  • KAMATI YA MWENGE MKOA YARIDHISHWA MAANDALIZI YA MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU WILAYANI TANGANYIKA.

    July 16, 2025
  • DED TANGANYIKA AAGIZA UKAMILISHWAJI WA MIRADI| WANANCHI WATAKIWA KUJITOKEZA KWA WINGI KUUPOKEA MWENGE WA UHURU.

    July 11, 2025
  • Tazama zote

video

MILIONI 328 KUKAMILISHA UJENZI WA OFISI ZA TFS TANGANYIKA, DC BUSWELU ASISITIZA UBORA WA MAJENGO.
Video nyingine

Mawasiliano ya Haraka

  • Taarifa kwa Umma
  • Orodha ya Madiwani
  • WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA HALMASHAURI YA TANGANYIKA
  • Gazeti la Mpanda Leo
  • Habari Mpya
  • Mwanzo
  • Matukio
  • Matangazo

Kurasa zinazofanana

  • Tovuti ya Ikuli
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi Tanzania
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti kuu ya Serikali

Wasomaji Mbalimbali Dunia

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free visitor counters

Dira ya Ramani

Wasiliana Nasi

    TONGWE - MAJALILA

    Sanduku la barua: S.L.P 01 KATAVI - TANGANYIKA

    Telephone: +255-252955264

    Simu ya mkononi: 0754870344

    Barua pepe: ded@tanganyikadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Sitemap
    • Huduma
    • Test

Copyright ©2018 Tanganyika-DC . All rights reserved.