• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe ya ofisi |
Tanganyika District Council
Tanganyika District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tanganyika District Council

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasissi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu, ufuatiliaji na Uchumi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Elimu Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Kitengo
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Miradi ya Elimu
    • Usafirishaji
    • Ufugaji Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Leseni za Biashara
    • Uvuvi
    • Ufugaji Nyuki
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Matumizi Bora ya Ardhi
    • Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Kitaifa
    • Video za Shughuli za Halmashauri
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Gazeti la Mpanda Leo
    • Makala Mbalimbali

Elimu


MWAMTUKA kuinua elimu Tanganyika

Walimu wakuu, wakuu wa shule na maafisa elimu kata wa Halmashauri ya wilaya ya Tanganyika wamepewa mafunzo ya uwezeshaji wa uboreshaji wa matumizi ya mfumo wa wazi wa mapitio na tathmini ya utendaji kazi (MWAMTUKA). Mafunzo hayo yamefanyika Desemba 8, 2018 katika ukumbi wa chuo Kikuu huria cha Tanzania, tawi la Katavi.

Akifungua mafunzo hayo, mgeni rasmi ambaye pia ni afisa utumishi katika ofisi ya katibu tawala wa mkoa Katavi Bw. Boko Majinge amewashauri walimu kujifunza kwa bidii namna ya kujaza mfumo huo wa upimaji wa utendaji kazi kwa waajiriwa (OPRAS) ili uinue elimu ya Tanganyika. Katika mfumo huo kuna vipengele muhimu 8. Kila kipengele kinaweza kusaidia kuinua elimu kama kitazingatiwa na kinaweza kushusha elimu kama kitapuziwa.

Ujazaji OPRAS ni mfumo wa wazi ambao unamtaka mwajiri na mwajiriwa au Mkuu wa Idara au kitengo akae na kila mtumishi aliyopo chini yake ili wajadili na kukubaliana malengo ya utendaji kazi kwa kipindi cha muda wa miezi 6 na baadaye kukaa tena pamoja kufanya tathmini ya nusu mwaka.

“Nawapongeza maafisa elimu wa Tanganyika kwa kuitisha mafunzo haya kwa viongozi hawa. Wengi wenu mlikuwa hamjazi OPRAS ama kwa kujua au kutokujua umuhimu wake. Ndiyo maana wengine walikuwa wanajaziwa na wengine kazi yao ilikuwa kuigilizia kwa mtu mwingine. Kila mmoja wenu akawajibike kuhakikisha anakaa na wa chini yake na kuweka makubaliano ya kiutendaji” Amesema Majinge

Naye afisa elimu msingi, Bw. Keny Shilumba amewaagiza walimu hao kuhakikisha kila mmoja anatumia mafunzo hayo vizuri ili wanafunzi wapate haki yao. Sifa ya mwalimu ni kufaulisha wanafunzi kwa njia zinazokubalika.

Hata hivyo, afisa elimu sekondari Bw. Michael Lyambilo amewaambia walimu kuwa siku hizi ni ukweli na uwazi, hivyo tusimamie miongozo na walaka na kanuni zinazoongoza masuala ya elimu.


Matangazo

  • WALIOITWA KWENYE USAILI WA NAFASI YA WATENDAJI WA KIJIJI III July 07, 2022
  • WALIOITWA KWENYE USAILI WA NAFASI ZA DEREVA II, KATIBU MAHSUSI III NA WATENDAJI WA KIJIJI III July 07, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA TANGANYIKA July 16, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA TANGANYIKA July 16, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • TANGANYIKA YAWEKA MIKAKATI KUONGEZA VYANZO VYA MAPATO

    February 01, 2023
  • DC JAMILA AHIMIZA UPANDAJI NA UTANZAJI WA MITI

    January 24, 2023
  • Kamati ya Siasa CCM Wilaya ya Tanganyika yawataka watumishi kusimamia Ilani

    January 23, 2023
  • Kamati ya Siasa CCM Wilaya ya Tanganyika yawataka watumishi kusimamia Ilani

    January 23, 2023
  • Tazama zote

video

DC wa Tanganyika asisitiza michezo katika kata ya Bulamata
Video nyingine

Mawasiliano ya Haraka

  • Taarifa kwa Umma
  • Orodha ya Madiwani
  • WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA HALMASHAURI YA TANGANYIKA
  • Gazeti la Mpanda Leo
  • Habari Mpya
  • Mwanzo
  • Matukio
  • Matangazo

Kurasa zinazofanana

  • Tovuti ya Ikuli
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi Tanzania
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti kuu ya Serikali

Wasomaji Mbalimbali Dunia

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free visitor counters

Dira ya Ramani

Wasiliana Nasi

    TONGWE - MAJALILA

    Sanduku la barua: S.L.P 01 KATAVI - TANGANYIKA

    Telephone: +255-252955264

    Simu ya mkononi: 0754870344

    Barua pepe: ded@tanganyikadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Sitemap
    • Huduma
    • Test

Copyright ©2018 Tanganyika-DC . All rights reserved.