• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe ya ofisi |
Tanganyika District Council
Tanganyika District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tanganyika District Council

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasissi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu, ufuatiliaji na Uchumi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Elimu Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Kitengo
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Miradi ya Elimu
    • Usafirishaji
    • Ufugaji Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Leseni za Biashara
    • Uvuvi
    • Ufugaji Nyuki
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Matumizi Bora ya Ardhi
    • Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Kitaifa
    • Video za Shughuli za Halmashauri
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Gazeti la Mpanda Leo
    • Makala Mbalimbali

WANANCHI WA KIJIJI CHA ITETEMYA, HALMASHAURI YA TANGANYIKA, WAZINDUAZOEZI LA UTAMBUZI NA UTOAJI WA CHANJO KWA MIFUGO

Posted on: October 10th, 2025

Wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika, wazindua rasmi zoezi la utambuzi na utoaji wa chanjo kwa mifugo dhidi ya magonjwa zaidi ya 13. Baadhi ya magonjwa hayo ni pamoja nahoma ya mapafu, kichaa cha mbwa, sokota ya mbuzi na kondoo, mdondo, na homa yabonde la ufa ambayo huathiri mifugo kwa kiwango kikubwa. Zoezi hilo limefanyika katika Kijiji cha Itetemya,Kata ya Karema.


Zoezi hilo limezinduliwa na Afisa Tarafa mkuu wa tarafa ya karema, Bw.Keneth Pesa Mbili,ambaye amemuwakilisha Mhe. Mkuu wa Wilaya, Onesmo Busweru. Uzinduzi huu nisehemu ya utekelezaji wa kampeni ya kitaifa ya utoaji chanjo kwa mifugo,inayotarajiwa kufanyika kwa kipindi cha miaka mitano kuanzia mwaka 2024 hadi 2029, kama ilivyozinduliwa na Mhe. Rais wa Awamu ya Sita Samia Suluhu Hassan,tarehe 16 Juni 2025.

Wafugaji wamemshukuru Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuwekaruzuku kwenye chanjo hizo, ambapo awali mfugaji alilazimika kulipia kati yashilingi 1,000 hadi 1,100 kwa kila ng’ombe, lakini sasa gharama hiyo imeshukahadi shilingi 500 tu. Hili ni punguzo kubwa lililowezekana kutokana na ruzukuya Serikali ya Awamu ya Sita, na limeleta unafuu mkubwa kwa wafugaji katika utoajiwa chanjo.

Sambamba na shughuli hiyo, Afisa Tarafa mkuu wa tarafa ya karema, Bw.Keneth Pesa Mbili ametembelea pia mradi wa ujenzi wakituo cha Mama na Mtoto katika Kituo cha Afya cha Ikola, ambao uko katika hatua ya msingi. Aidha, amekagua maendeleo ya ujenzi wa Zahanati ya Itunya, Na kuwasisitiza wasimamizi pamoja na mkandarasi kuongeza kasi ya ujenzi huo kwani kasi yake bado hairizishi.Mradi huu wa ujenzi unatarajiwa kugharimu kiasi cha shilingi milioni 180.

Matangazo

  • WALIOITWA KWENYE USAILI WA NAFASI YA WATENDAJI WA KIJIJI III July 07, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA May 27, 2025
  • WALIOITWA KWENYE USAILI WA NAFASI ZA DEREVA II, KATIBU MAHSUSI III NA WATENDAJI WA KIJIJI III July 07, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA TANGANYIKA July 16, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Tanganyika Aongoza Bonanza laKuhamasisha Upigaji Kura kwa amani Tarehe 29 Oktoba 2025.

    October 13, 2025
  • WANANCHI WA KIJIJI CHA ITETEMYA, HALMASHAURI YA TANGANYIKA, WAZINDUAZOEZI LA UTAMBUZI NA UTOAJI WA CHANJO KWA MIFUGO

    October 10, 2025
  • DC ONESMO BUSWELU AKABIDHI MIFUKO YA SARUJI KUCHOCHEA UJENZI WA BWENI JIPYA LA WASICHANA SIBWESA SEKONDARI.

    October 08, 2025
  • WADAU NA WANANCHI WAASWA KUUNGANA PAMOJA UJEZI WA VITUO VYA MALEZI , MAKUZI NA MAENDELEO YA WATOTO HALMASHAURI YA WILAYA YA TANGANYIKA.

    October 04, 2025
  • Tazama zote

video

MILIONI 328 KUKAMILISHA UJENZI WA OFISI ZA TFS TANGANYIKA, DC BUSWELU ASISITIZA UBORA WA MAJENGO.
Video nyingine

Mawasiliano ya Haraka

  • Taarifa kwa Umma
  • Orodha ya Madiwani
  • WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA HALMASHAURI YA TANGANYIKA
  • Gazeti la Mpanda Leo
  • Habari Mpya
  • Mwanzo
  • Matukio
  • Matangazo

Kurasa zinazofanana

  • Tovuti ya Ikuli
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi Tanzania
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti kuu ya Serikali

Wasomaji Mbalimbali Dunia

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free visitor counters

Dira ya Ramani

Wasiliana Nasi

    TONGWE - MAJALILA

    Sanduku la barua: S.L.P 01 KATAVI - TANGANYIKA

    Telephone: +255-252955264

    Simu ya mkononi: 0754870344

    Barua pepe: ded@tanganyikadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Sitemap
    • Huduma
    • Test

Copyright ©2018 Tanganyika-DC . All rights reserved.