• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe ya ofisi |
Tanganyika District Council
Tanganyika District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tanganyika District Council

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasissi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu, ufuatiliaji na Uchumi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Elimu Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Kitengo
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Miradi ya Elimu
    • Usafirishaji
    • Ufugaji Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Leseni za Biashara
    • Uvuvi
    • Ufugaji Nyuki
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Matumizi Bora ya Ardhi
    • Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Kitaifa
    • Video za Shughuli za Halmashauri
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Gazeti la Mpanda Leo
    • Makala Mbalimbali

WADAU NA WANANCHI WAASWA KUUNGANA PAMOJA UJEZI WA VITUO VYA MALEZI , MAKUZI NA MAENDELEO YA WATOTO HALMASHAURI YA WILAYA YA TANGANYIKA.

Posted on: October 4th, 2025

Wadau wa Maendeleo Wakutana Kujadili Ustawi wa Mtoto katika Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika


Katika kikao cha kila baada ya miezi 3 kilicholenga kupitia Mpango wa Taifa wa Maendeleo ya Awali ya Watoto (PJT-MMMA), wadau mbalimbali kutoka sekta ya elimu, afya na lishe wamekutana kujadili hali ya makuzi, malezi na maendeleo ya watoto ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika.

Changamoto Zilizojadiliwa:

Wajumbe wa kikao wamebainisha changamoto kadhaa zinazokwamisha maendeleo ya mtoto katika eneo la Halmashauri ya wilaya ya Tanganyika, zikiwemo:

⦁Ukosefu wa vituo vya malezi na maendeleo ya awali ya watoto

⦁Uhaba wa walimu wa shule za awali

⦁Ushiriki mdogo wa wanaume katika masuala ya malezi na makuzi ya Watoto.

⦁Bajeti finyu ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo ya watoto

Kwa mujibu wa mjadala, changamoto hizi zimekuwa kikwazo kikubwa katika kufikia malezi bora na maendeleo jumuishi ya watoto katika jamii.


Hatua Zilizopendekezwa:

Mojawapo ya maamuzi makuu yaliyofikiwa ni kuundwa kwa kamati maalum ya kusimamia ujenzi wa vituo vya malezi. Kamati hii itashughulikia:

⦁Kutafuta maeneo sahihi ya ujenzi

⦁Kuandaa bajeti ya utekelezaji

⦁Kusimamia hatua kwa hatua ujenzi wa vituo hivyo

Juu ya changamoto ya ushiriki mdogo wa Wanaume katika makuzi na malezi ya watoto:

Sajenti Cristina kutoka Dawati la Polisi Wilaya ya Tanganyika amesistiza umuhimu wa ushiriki wa wanaume katika malezi ya watoto. Atoa wito kwa wanaume kujitokeza kwa wingi kwenye mikutano ya elimu ya malezi, na kwa wanawake kuwahamasisha waume zao kushiriki.

"Rai yetu ni kwamba wanaume mjitokeze tunapotoa elimu katika maeneo yenu. Msiachie wanawake pekee. Ushiriki wa wanaume bado ni changamoto kubwa sana," alisema Sajenti Christina.

Elimu ya Pamoja Kliniki:

Wanawake pia wanahimizwa kuhudhuria kliniki wakiwa na waume zao ili wote wawili wapate elimu ya pamoja kuhusu makuzi na afya ya mtoto. Hii itasaidia kuongeza uelewa na ushiriki wa pamoja katika malezi.

Wito kwa Jamii na Vyombo vya Habari:

Afisa Ustawi wa Jamii wa Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika, Bwana Oscar Mkende, anawaomba wananchi, wadau wa maendeleo, na maafisa habari kushiriki kikamilifu katika kuhamasisha na kutekeleza mpango huu muhimu wa maendeleo ya awali ya mtoto.

“Kila mmoja wetu asimame kwa nafasi yake kuwezesha malezi bora ya watoto. Bado kuna kazi kubwa ya kufanya,” alisema.Bwana Oscar,Afisa Ustawi wa Jamii wa Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika.

Matangazo

  • WALIOITWA KWENYE USAILI WA NAFASI YA WATENDAJI WA KIJIJI III July 07, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA May 27, 2025
  • WALIOITWA KWENYE USAILI WA NAFASI ZA DEREVA II, KATIBU MAHSUSI III NA WATENDAJI WA KIJIJI III July 07, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA TANGANYIKA July 16, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • DC ONESMO BUSWELU AKABIDHI MIFUKO YA SARUJI KUCHOCHEA UJENZI WA BWENI JIPYA LA WASICHANA SIBWESA SEKONDARI.

    October 08, 2025
  • WADAU NA WANANCHI WAASWA KUUNGANA PAMOJA UJEZI WA VITUO VYA MALEZI , MAKUZI NA MAENDELEO YA WATOTO HALMASHAURI YA WILAYA YA TANGANYIKA.

    October 04, 2025
  • RC MRINDOKO AKAGUA MRADI WA UJENZI WA MELI NNE BANDARI YA KAREMA, AWASIHI WANANCHI KURASMISHA ARDHI NA KUCHANGAMKIA FURSA ZA MRADI.

    October 02, 2025
  • HII NDIO MIRADI NANE TANGANYIKA YENYE THAMANI YA ZAIDI YA BILIONI 2.5 ILIYO MKOSHA KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE WA UHURU KITAIFA 2025.

    September 25, 2025
  • Tazama zote

video

MILIONI 328 KUKAMILISHA UJENZI WA OFISI ZA TFS TANGANYIKA, DC BUSWELU ASISITIZA UBORA WA MAJENGO.
Video nyingine

Mawasiliano ya Haraka

  • Taarifa kwa Umma
  • Orodha ya Madiwani
  • WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA HALMASHAURI YA TANGANYIKA
  • Gazeti la Mpanda Leo
  • Habari Mpya
  • Mwanzo
  • Matukio
  • Matangazo

Kurasa zinazofanana

  • Tovuti ya Ikuli
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi Tanzania
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti kuu ya Serikali

Wasomaji Mbalimbali Dunia

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free visitor counters

Dira ya Ramani

Wasiliana Nasi

    TONGWE - MAJALILA

    Sanduku la barua: S.L.P 01 KATAVI - TANGANYIKA

    Telephone: +255-252955264

    Simu ya mkononi: 0754870344

    Barua pepe: ded@tanganyikadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Sitemap
    • Huduma
    • Test

Copyright ©2018 Tanganyika-DC . All rights reserved.