• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe ya ofisi |
Tanganyika District Council
Tanganyika District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tanganyika District Council

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasissi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu, ufuatiliaji na Uchumi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Elimu Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Kitengo
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Miradi ya Elimu
    • Usafirishaji
    • Ufugaji Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Leseni za Biashara
    • Uvuvi
    • Ufugaji Nyuki
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Matumizi Bora ya Ardhi
    • Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Kitaifa
    • Video za Shughuli za Halmashauri
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Gazeti la Mpanda Leo
    • Makala Mbalimbali

UTAFITI WABAINI UDONGO WA TANGANYIKA HAUJAZEEKA.

Posted on: September 16th, 2025

Timu ya utafiti kutoka Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA) imebaini kuwa ardhi ya Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika, bado ni kijana na haijazeeka kiasi cha kutokidhi mahitaji ya uzalishaji wa mazao ikiwemo zao la Mahindi ambalo ndilo lilikuwa likifanyiwa utafiti.


Wataalamu hao wamefanya tafiti kwenye Vijiji 8, ambapo jumla ya mashamba 389 na wakulima 240 wamefanyiwa utafiti kuhusu aina yao ya ulimaji na utunzaji wa ardhi.


Katika utafiti huo umebainisha kwamba kwa kiasi kikubwa udongo wa maeneo ambayo utafiti huo umefanyika yana upungufu wa rutuba hivyo wameshauri njia za kitalaam kutumika ili kuongeza uzalishaji, maeneo hayo ni kama Ifukutwa, Ngomalusambo, Majalila, Igagala, Mchakamchaka, Kabungu, Kamsanga na Nkungwi.


Akiwasilisha ripoti hiyo kwa niaba ya timu Mhadhili Daniel M. Nhunda amebainisha njia za kufanyika ili kuongeza uzalishaji ni kama; kutumia mbolea kwa awamu tatu kwa kuzingatia muda sahihi, kuacha kuchoma na kupalilia mabaki ya mazao, kutumia chokaa kwa kiasi kikubwa, kufanya tathimini ya udongo ili kubaini mapungufu yaliyopo.


Aidha kwa upande wa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika Bw Shabani J. Juma amesema kwamba kama Halmashauri atahakikisha anarejesha kwa jamii uwezeshaji wa maarifa na ujuzi kwa wakulima ili kuongeza uzalishaji.


Sambamba na hilo ameiagiza Idara ya Kilimo kuhakikisha ripoti hii iliyowasilishwa wanaibeba na kuifanyia kazi ambapo ametaka wataalamu wafike kwa wakulima na kutoa elimu ya kitalaamu zaidi.

Matangazo

  • WALIOITWA KWENYE USAILI WA NAFASI YA WATENDAJI WA KIJIJI III July 07, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA May 27, 2025
  • WALIOITWA KWENYE USAILI WA NAFASI ZA DEREVA II, KATIBU MAHSUSI III NA WATENDAJI WA KIJIJI III July 07, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA TANGANYIKA July 16, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • UTAFITI WABAINI UDONGO WA TANGANYIKA HAUJAZEEKA.

    September 16, 2025
  • VIJANA TANGANYIKA WATAKA ELIMU YA UKOMBOZI KIUCHUMI KUTOLEWA ZAIDI

    August 24, 2025
  • DED TANGANYIKA AANZA KUTOA MOTISHA KWA WATUMISHI HODARI.

    August 21, 2025
  • MISHAMO WAUNGANA KUUPOKEA MWENGE WA UHURU 2025.

    August 14, 2025
  • Tazama zote

video

MILIONI 328 KUKAMILISHA UJENZI WA OFISI ZA TFS TANGANYIKA, DC BUSWELU ASISITIZA UBORA WA MAJENGO.
Video nyingine

Mawasiliano ya Haraka

  • Taarifa kwa Umma
  • Orodha ya Madiwani
  • WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA HALMASHAURI YA TANGANYIKA
  • Gazeti la Mpanda Leo
  • Habari Mpya
  • Mwanzo
  • Matukio
  • Matangazo

Kurasa zinazofanana

  • Tovuti ya Ikuli
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi Tanzania
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti kuu ya Serikali

Wasomaji Mbalimbali Dunia

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free visitor counters

Dira ya Ramani

Wasiliana Nasi

    TONGWE - MAJALILA

    Sanduku la barua: S.L.P 01 KATAVI - TANGANYIKA

    Telephone: +255-252955264

    Simu ya mkononi: 0754870344

    Barua pepe: ded@tanganyikadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Sitemap
    • Huduma
    • Test

Copyright ©2018 Tanganyika-DC . All rights reserved.