• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe ya ofisi |
Tanganyika District Council
Tanganyika District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tanganyika District Council

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasissi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu, ufuatiliaji na Uchumi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Elimu Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Kitengo
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Miradi ya Elimu
    • Usafirishaji
    • Ufugaji Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Leseni za Biashara
    • Uvuvi
    • Ufugaji Nyuki
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Matumizi Bora ya Ardhi
    • Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Kitaifa
    • Video za Shughuli za Halmashauri
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Gazeti la Mpanda Leo
    • Makala Mbalimbali

TARURA WAAGIZWA KUKAMILISHA HARAKA DARAJA LA SILONGE, KIKWAZO KWA WANANCHI.

Posted on: October 20th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Tanganyika, Mhe. Onesmo Buswelu, ametoa maagizo kwa mkandarasi anayesimamia ujenzi wa Daraja la Silonge lililopo katika Kijiji cha Katobo kuhakikisha ujenzi huo unakamilika ifikapo tarehe 27 Oktoba, 2025. Lengo ni kuhakikisha daraja hilo linapitika kwa urahisi ili kuwawezesha wananchi kushiriki kikamilifu katika zoezi la kupiga kura litakalofanyika tarehe 29 Oktoba.

Akizungumza wakati wa ziara yake ya kukagua maendeleo ya mradi huo chini ya TARURA, Mhe. Buswelu amesisitiza kuwa kukamilika kwa daraja hilo kwa wakati siyo tu kutarahisisha usafiri bali pia ni sehemu ya kuhakikisha kila mwananchi anapata haki ya kushiriki katika mchakato wa kupiga kura.

Aidha, Mhe. Buswelu amewahimiza wananchi kujitokeza kwa wingi na kwa uwajibikaji katika zoezi la upigaji kura, akisisitiza kuwa ni haki yao ya msingi na njia ya kuchangia maendeleo ya taifa.

Katika ziara hiyo, Mkuu huyo wa Wilaya pia amekagua maendeleo ya ujenzi wa Zahanati ya Silonge, ambayo imejengwa kwa ushirikiano kati ya wananchi na Serikali. Mpaka sasa, zahanati hiyo imegharimu kiasi cha Shilingi milioni 60 na iko katika hatua ya upauaji.


Mhe. Buswelu amepongeza juhudi za wananchi kwa kushiriki kikamilifu katika ujenzi huo, na akasisitiza kuwa Serikali itaendelea kushirikiana nao kuhakikisha huduma bora za afya zinawafikia kwa karibu.

Matangazo

  • WALIOITWA KWENYE USAILI WA NAFASI YA WATENDAJI WA KIJIJI III July 07, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA May 27, 2025
  • WALIOITWA KWENYE USAILI WA NAFASI ZA DEREVA II, KATIBU MAHSUSI III NA WATENDAJI WA KIJIJI III July 07, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA TANGANYIKA July 16, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • TARURA WAAGIZWA KUKAMILISHA HARAKA DARAJA LA SILONGE, KIKWAZO KWA WANANCHI.

    October 20, 2025
  • Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Maendeleo ya Mazao , Wizara ya Kilimo Aongoza Mafunzo kwa Wakulima Kata ya Kasekese, Halmashauri wilaya ya Tanganyika.

    October 15, 2025
  • Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Tanganyika Aongoza Bonanza laKuhamasisha Upigaji Kura kwa amani Tarehe 29 Oktoba 2025.

    October 13, 2025
  • WANANCHI WA KIJIJI CHA ITETEMYA, HALMASHAURI YA TANGANYIKA, WAZINDUAZOEZI LA UTAMBUZI NA UTOAJI WA CHANJO KWA MIFUGO

    October 10, 2025
  • Tazama zote

video

MILIONI 328 KUKAMILISHA UJENZI WA OFISI ZA TFS TANGANYIKA, DC BUSWELU ASISITIZA UBORA WA MAJENGO.
Video nyingine

Mawasiliano ya Haraka

  • Taarifa kwa Umma
  • Orodha ya Madiwani
  • WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA HALMASHAURI YA TANGANYIKA
  • Gazeti la Mpanda Leo
  • Habari Mpya
  • Mwanzo
  • Matukio
  • Matangazo

Kurasa zinazofanana

  • Tovuti ya Ikuli
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi Tanzania
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti kuu ya Serikali

Wasomaji Mbalimbali Dunia

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free visitor counters

Dira ya Ramani

Wasiliana Nasi

    TONGWE - MAJALILA

    Sanduku la barua: S.L.P 01 KATAVI - TANGANYIKA

    Telephone: +255-252955264

    Simu ya mkononi: 0754870344

    Barua pepe: ded@tanganyikadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Sitemap
    • Huduma
    • Test

Copyright ©2018 Tanganyika-DC . All rights reserved.