• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe ya ofisi |
Tanganyika District Council
Tanganyika District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tanganyika District Council

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasissi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu, ufuatiliaji na Uchumi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Elimu Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Kitengo
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Miradi ya Elimu
    • Usafirishaji
    • Ufugaji Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Leseni za Biashara
    • Uvuvi
    • Ufugaji Nyuki
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Matumizi Bora ya Ardhi
    • Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Kitaifa
    • Video za Shughuli za Halmashauri
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Gazeti la Mpanda Leo
    • Makala Mbalimbali

TANGANYIKA DC TAYARI KWA UWEKEZAJI WA MIRADI MIKUBWA MITATU, DED SHABANI AKABIDHIWA RIPOTI YA USANIFU WA AWALI

Posted on: November 25th, 2025

Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika imepokea wasilisho la ripoti ya usanifu wa awali pamoja na michoro ya miradi mikubwa mitatu ya uwekezaji kiuchumi inayotarajiwa kuanzishwa.

Akizungumza mara baada ya kusikiliza wasilisho na kupokea ripoti, Mkurugenzi Mtendajii wa Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika Bw Shabani J. Juma amesema kwamba, Halmashauri imedhamiria kwa dhari kuwekeza katika miradi hiyo yenye tija na kuongeza kuwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika hakuna kitakachoshindikana  kutokana na uwepo wa rasilimali za kutosha, fursa za mikopo, nia madhubuti ya uwekazaji huo pamoja na malengo ya kuibua vyanzo vya mapato vilitakavyodumu muda mrefu.


Kikao hicho kilichofanyika Novemba 24, 2025 katika ukumbi wa Halmashauri, kimehudhuriwa na Timu ya Menejimenti ya Halmashauri(CMT) ikiongozwa na Mkurugenzi Shabani J. Juma, wadau mbalimbali wa uwekezaji, taasisi binafsi na za umma, Mabenki, pamoja na wafanyabiashara wakubwa na wadogo.

Vilevile kikao hicho kimehudhuriwa na  wakala wa majengo Tanzania (TBA), TAKUKURU wilaya ya Tanganyika, TFS, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Katavi, VETA Mpanda pamoja na wadau wengine wa maendeleo.


Katika kikao hicho kampuni ya Malk Architecture & Cost Ltd imewasilisha michoro ya usanifu wa awali ya miradi mikubwa mitatu. Miradi hiyo ni Jengo la kisasa la biashara (BUSINESS COMPLEX), na Masoko ya Mazao Mawili (CROP MARKETS) Katika Kijiji cha Kasekese na Kapanga.

Baadhi ya wadau waalikwa wakiongozwa na Mkuu wa TAKUKURU Wilaya Ndg Kichere Mwita wamepongeza juhudi za Mkurugenzi na Halmashauri kwa ujumla kwa kuanzisha mchakato huo, wakiutaja kuwa moja ya mafanikio makubwa kwa Serikali mara utakapokamilika na kuanza kutoa huduma.


Matangazo

  • WALIOITWA KWENYE USAILI WA NAFASI YA WATENDAJI WA KIJIJI III July 07, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA May 27, 2025
  • WALIOITWA KWENYE USAILI WA NAFASI ZA DEREVA II, KATIBU MAHSUSI III NA WATENDAJI WA KIJIJI III July 07, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA TANGANYIKA July 16, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • TANGANYIKA DC TAYARI KWA UWEKEZAJI WA MIRADI MIKUBWA MITATU, DED SHABANI AKABIDHIWA RIPOTI YA USANIFU WA AWALI

    November 25, 2025
  • Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika wakisikiliza hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, alipokuwa akilihutubia Bunge la 13

    November 14, 2025
  • MAKARANI WAONGOZAJI WA VITUO VYA KUPIGA KURA WAPATIWA MAFUNZO TANGANYIKA

    October 25, 2025
  • DC BUSWELU AFANYA ZIARA KUHAMASISHA USHIRIKI WA UCHAGUZI MKUU TAREHE 29 OKTOBA KWA AMANI

    October 23, 2025
  • Tazama zote

video

MILIONI 328 KUKAMILISHA UJENZI WA OFISI ZA TFS TANGANYIKA, DC BUSWELU ASISITIZA UBORA WA MAJENGO.
Video nyingine

Mawasiliano ya Haraka

  • Taarifa kwa Umma
  • Orodha ya Madiwani
  • WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA HALMASHAURI YA TANGANYIKA
  • Gazeti la Mpanda Leo
  • Habari Mpya
  • Mwanzo
  • Matukio
  • Matangazo

Kurasa zinazofanana

  • Tovuti ya Ikuli
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi Tanzania
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti kuu ya Serikali

Wasomaji Mbalimbali Dunia

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free visitor counters

Dira ya Ramani

Wasiliana Nasi

    TONGWE - MAJALILA

    Sanduku la barua: S.L.P 01 KATAVI - TANGANYIKA

    Telephone: +255-252955264

    Simu ya mkononi: 0754870344

    Barua pepe: ded@tanganyikadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Sitemap
    • Huduma
    • Test

Copyright ©2018 Tanganyika-DC . All rights reserved.