• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe ya ofisi |
Tanganyika District Council
Tanganyika District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tanganyika District Council

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasissi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu, ufuatiliaji na Uchumi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Elimu Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Kitengo
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Miradi ya Elimu
    • Usafirishaji
    • Ufugaji Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Leseni za Biashara
    • Uvuvi
    • Ufugaji Nyuki
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Matumizi Bora ya Ardhi
    • Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Kitaifa
    • Video za Shughuli za Halmashauri
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Gazeti la Mpanda Leo
    • Makala Mbalimbali

MHE MHANDO APONGEZA KASI YA MAENDELEO TANGANYIKA DC, AHIMIZA AMANI NA UTULIVU

Posted on: November 27th, 2025

Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Tanganyika wa kwanza kuanzisha Wilaya hii na sasa Mbunge wa Jimbo la Kilindi mkoani Tanga, Salehe Mbwana Mhando, amepongeza utendaji na maendeleo ya Halmashauri ya Tanganyika, akiahidi kuijenga Kilindi kwa mfano wa mafanikio ya Tanganyika.


Akizungumza mbele ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Tanganyika, Bw Shaban J. Juma, alipofika kusalimia, Mhando amesema kila anapofika Tanganyika hukutana na maendeleo mapya, jambo linaloifanya Halmashauri hiyo kuwa shamba darasa kwa Kilindi.


“Nikuhakikishie Mkurugenzi, nataka kuijenga Kilindi kwa mfano wa Tanganyika, ingawa tuna kazi kubwa ya kufanya kule… Kwa kuwa ninyi ni shamba darasa, nitashirikiana na Mkurugenzi wangu kule ili yanayotokea hapa yafanyike na kule,” alisema Mhando.

Kauli hiyo aliitoa Novemba 26, 2025, alipotembelea Ofisi za Wilaya ya Tanganyika, ambapo amepata fursa ya kuzungumza na watumishi na watendaji wa Halmashauri hiyo.


Sambamba na hayo, Mhe Mhando amewataka wananchi wa Tanganyika na Tanzania kwa ujumla kudumisha amani na utulivu, ili serikali iendelea kufanya kazi ya kuwaletea maendeleo wananchi wote.

Matangazo

  • WALIOITWA KWENYE USAILI WA NAFASI YA WATENDAJI WA KIJIJI III July 07, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA May 27, 2025
  • WALIOITWA KWENYE USAILI WA NAFASI ZA DEREVA II, KATIBU MAHSUSI III NA WATENDAJI WA KIJIJI III July 07, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA TANGANYIKA July 16, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • MHE MHANDO APONGEZA KASI YA MAENDELEO TANGANYIKA DC, AHIMIZA AMANI NA UTULIVU

    November 27, 2025
  • TANGANYIKA DC TAYARI KWA UWEKEZAJI WA MIRADI MIKUBWA MITATU, DED SHABANI AKABIDHIWA RIPOTI YA USANIFU WA AWALI

    November 25, 2025
  • Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika wakisikiliza hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, alipokuwa akilihutubia Bunge la 13

    November 14, 2025
  • MAKARANI WAONGOZAJI WA VITUO VYA KUPIGA KURA WAPATIWA MAFUNZO TANGANYIKA

    October 25, 2025
  • Tazama zote

video

MILIONI 328 KUKAMILISHA UJENZI WA OFISI ZA TFS TANGANYIKA, DC BUSWELU ASISITIZA UBORA WA MAJENGO.
Video nyingine

Mawasiliano ya Haraka

  • Taarifa kwa Umma
  • Orodha ya Madiwani
  • WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA HALMASHAURI YA TANGANYIKA
  • Gazeti la Mpanda Leo
  • Habari Mpya
  • Mwanzo
  • Matukio
  • Matangazo

Kurasa zinazofanana

  • Tovuti ya Ikuli
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi Tanzania
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti kuu ya Serikali

Wasomaji Mbalimbali Dunia

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free visitor counters

Dira ya Ramani

Wasiliana Nasi

    TONGWE - MAJALILA

    Sanduku la barua: S.L.P 01 KATAVI - TANGANYIKA

    Telephone: +255-252955264

    Simu ya mkononi: 0754870344

    Barua pepe: ded@tanganyikadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Sitemap
    • Huduma
    • Test

Copyright ©2018 Tanganyika-DC . All rights reserved.