• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe ya ofisi |
Tanganyika District Council
Tanganyika District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tanganyika District Council

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasissi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu, ufuatiliaji na Uchumi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Elimu Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Kitengo
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Miradi ya Elimu
    • Usafirishaji
    • Ufugaji Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Leseni za Biashara
    • Uvuvi
    • Ufugaji Nyuki
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Matumizi Bora ya Ardhi
    • Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Kitaifa
    • Video za Shughuli za Halmashauri
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Gazeti la Mpanda Leo
    • Makala Mbalimbali

DED TANGANYIKA DC ATAKA KASI UKAMILISHAJI WA MIRADI, ATOA MAELEKEZO KWA WATENDAJI

Posted on: November 27th, 2025

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika, Bw. Shabani J. Juma, amefanya kikao kazi na watendaji wa vijiji na kata, walimu wakuu, wakuu wa shule na wasimamizi wa miradi kwa ajili ya kupitia utekelezaji wa miradi mbalimbali ya Halmashauri, ikiwa ni juhudi za kuhakikisha miradi hiyo inatekelezwa na kukamilishwa kwa wakati kama ilivyoainishwa kwenye mipango ya Halmashauri pamoja na utekelezaji wa maagizo ya Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mhe Mwanamvua Mrindoko kutaka miradi yote ikamilike ifikapo Desemba 30.

Kikao hicho kimefanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika mnamo Novemba 26, 2025, ambapo DED Shabani amesisitiza umuhimu wa ushirikiano mzuri kati ya watendaji wa kata na walimu wakuu ili kurahisisha utekelezaji wa miradi ya shule na kuhakikisha kazi zinakwenda kwa wakati.


Katika hatua nyingine, Mkurugenzi amewataka wahandisi na wasimamizi wa miradi kuongeza ufuatiliaji wa karibu na kufanya tathmini ya mara kwa mara ili kubaini changamoto zinazoathiri kasi ya utekelezaji wa miradi na kuzitatua mapema kabla hazijachelewesha malengo yaliyopangwa.


Ili kuongeza ufanisi, DED Shabani amesema Halmashauri itaunda timu ya wataalam kutoka idara na vitengo husika kwenda moja kwa moja kwenye maeneo ya miradi na kuweka kambi kwa muda, kuhakikisha changamoto zote zinatatuliwa papo hapo bila ulazima wa wahusika kusafiri hadi wilayani kufuata huduma.

Kikao hiki kimefanyika kufuatia maelekezo ya Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Mhe. Mwanamvua Mrindoko, aliyetoa maagizo kwa wilaya zote kuhakikisha zinakamilisha miradi yao yote ifikapo mwishoni mwa mwaka huu.

Matangazo

  • WALIOITWA KWENYE USAILI WA NAFASI YA WATENDAJI WA KIJIJI III July 07, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA May 27, 2025
  • WALIOITWA KWENYE USAILI WA NAFASI ZA DEREVA II, KATIBU MAHSUSI III NA WATENDAJI WA KIJIJI III July 07, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA TANGANYIKA July 16, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • DED TANGANYIKA DC ATAKA KASI UKAMILISHAJI WA MIRADI, ATOA MAELEKEZO KWA WATENDAJI

    November 27, 2025
  • MHE MHANDO APONGEZA KASI YA MAENDELEO TANGANYIKA DC, AHIMIZA AMANI NA UTULIVU

    November 27, 2025
  • TANGANYIKA DC TAYARI KWA UWEKEZAJI WA MIRADI MIKUBWA MITATU, DED SHABANI AKABIDHIWA RIPOTI YA USANIFU WA AWALI

    November 25, 2025
  • Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika wakisikiliza hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, alipokuwa akilihutubia Bunge la 13

    November 14, 2025
  • Tazama zote

video

MILIONI 328 KUKAMILISHA UJENZI WA OFISI ZA TFS TANGANYIKA, DC BUSWELU ASISITIZA UBORA WA MAJENGO.
Video nyingine

Mawasiliano ya Haraka

  • Taarifa kwa Umma
  • Orodha ya Madiwani
  • WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA HALMASHAURI YA TANGANYIKA
  • Gazeti la Mpanda Leo
  • Habari Mpya
  • Mwanzo
  • Matukio
  • Matangazo

Kurasa zinazofanana

  • Tovuti ya Ikuli
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi Tanzania
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti kuu ya Serikali

Wasomaji Mbalimbali Dunia

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free visitor counters

Dira ya Ramani

Wasiliana Nasi

    TONGWE - MAJALILA

    Sanduku la barua: S.L.P 01 KATAVI - TANGANYIKA

    Telephone: +255-252955264

    Simu ya mkononi: 0754870344

    Barua pepe: ded@tanganyikadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Sitemap
    • Huduma
    • Test

Copyright ©2018 Tanganyika-DC . All rights reserved.