• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe ya ofisi |
Tanganyika District Council
Tanganyika District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tanganyika District Council

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasissi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu, ufuatiliaji na Uchumi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Elimu Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Kitengo
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Miradi ya Elimu
    • Usafirishaji
    • Ufugaji Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Leseni za Biashara
    • Uvuvi
    • Ufugaji Nyuki
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Matumizi Bora ya Ardhi
    • Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Kitaifa
    • Video za Shughuli za Halmashauri
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Gazeti la Mpanda Leo
    • Makala Mbalimbali

Serikali kuachia maeneo yenye migogoro ya mipaka baina ya Mapori ya Akiba na Wananchi.

Posted on: September 10th, 2022

Pichani:Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii.

Serikali imeridhia kuachia maeneo yenye migogoro ya mipaka baina ya hifadhi za mapori ya akiba na wananchi.

Kutokana na malalamiko yaliyotolewa na baadhi ya viongozi pamoja na wananchi kuhusu muingiliano wa mipaka baina ya mapori ya akiba na wananchi serikali imeagiza mapori hayo yapitiwe upya na kuandaa taarifa ya kuondoa maeneo ya mamlaka za serikali za mitaa vikiwemo  vijiji vilivyo ndani ya mapori hayo.

Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Mary Masanja wakati akitoa tamko la serikali mkoani Katavi kuhusu migogoro inayoendelea baina ya wananchi na maeneo ya hifadhi.

Mary amesema malalamiko hayo yaliibuka baada ya serikali kuyapandisha hadhi mapori matano ambayo ni pori la Luganzo Tongwe, Inyonga,Wembere Ugalla na Igombe yaliyopo mikoa ya Katavi,Kigoma na Tabora nakua mapori ya akiba Juni,2021.

Naibu Waziri Mary amesema baada ya changamoto hizo kutokea Wizara ya Maliasili na Utalii iliunda kamati maalumu ya wataalamu kutoka ofisi ya Rais ikulu,ofisi ya Rais (TAMISEMI) Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyama Pori (TAWA )Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) Wizara ya Ardhi na Wilaya ya Tanganyika ili kubaini hali halisi ya changamoto hizo na serikali ifanye maamuzi.

Aidha amesema kamati hiyo imekamilisha kazi yake na ilibaina kuwa moja ya changamoto hizo kutokea ni kutoshirikishwa kwa wadau katika mchakato mzima wa kubadilisha hadhi ya hifadhi za misitu nakuwa mapori ya akiba na pili nikuathirika kwa mapato yatokanayo na mazao ya misitu.

Hatahivyo Naibu Waziri Mary amesema pamoja nakua serikali imeridhia kuachia maeneo ya hifadhi ametoa rai kwa wananchi hao kuyaheshimu na kuyalinda maeneo yatakayo ainishwa kwaajili ya hifadhi.

Kwaupande wake Mkuu wa Wilaya ya Tanganyika Onesmo Buswelu kwa niaba ya watumishi ameahidi kushirikian na Mamlaka husika kutekeleza maagizo yaliyotolewa kuhusu vijiji na maeneo mengine yaliyoingizwa ndani ya mapori hayo.

Nae Mbunge wa Jimbo la Mpanda Vijiji Suleiman Kakoso ameishukuru serikali kwa kuwasikiliza wananchi huku ikiiomba serikali kuendelea kutatua mgogoro uliopo katika hifadhi ya msitu wa Mpanda North.

Matangazo

  • WALIOITWA KWENYE USAILI WA NAFASI YA WATENDAJI WA KIJIJI III July 07, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA May 27, 2025
  • WALIOITWA KWENYE USAILI WA NAFASI ZA DEREVA II, KATIBU MAHSUSI III NA WATENDAJI WA KIJIJI III July 07, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA TANGANYIKA July 16, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • UKUSANYAJI WA KODI WAPAA TANGANYIKA – DC: 'NDIYO NJIA PEKEE YA KULETA MAENDELEO'

    May 27, 2025
  • UKUSANYAJI WA KODI WAPAA TANGANYIKA – DC: 'NDIYO NJIA PEKEE YA KULETA MAENDELEO'

    May 27, 2025
  • HALMASHAURI ZA WILAYA YA MOMBA NA MAKETE ZAKUTANA WILAYANI TANGANYIKA KUJIFUNZA BIASHARA YA KABONI.

    May 26, 2025
  • TANGANYIKA KUENDELEA KUWEKA MIKAKATI KUBORESHA SUALA LA LISHE, WAKUU WA IDARA YA ELIMU NA WAKUU WA SHULE WAPEWA MBINU KUSIMAMIA UPATIKANAJI CHAKULA MASHULENI.

    May 13, 2025
  • Tazama zote

video

MILIONI 328 KUKAMILISHA UJENZI WA OFISI ZA TFS TANGANYIKA, DC BUSWELU ASISITIZA UBORA WA MAJENGO.
Video nyingine

Mawasiliano ya Haraka

  • Taarifa kwa Umma
  • Orodha ya Madiwani
  • WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA HALMASHAURI YA TANGANYIKA
  • Gazeti la Mpanda Leo
  • Habari Mpya
  • Mwanzo
  • Matukio
  • Matangazo

Kurasa zinazofanana

  • Tovuti ya Ikuli
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi Tanzania
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti kuu ya Serikali

Wasomaji Mbalimbali Dunia

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free visitor counters

Dira ya Ramani

Wasiliana Nasi

    TONGWE - MAJALILA

    Sanduku la barua: S.L.P 01 KATAVI - TANGANYIKA

    Telephone: +255-252955264

    Simu ya mkononi: 0754870344

    Barua pepe: ded@tanganyikadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Sitemap
    • Huduma
    • Test

Copyright ©2018 Tanganyika-DC . All rights reserved.