• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe ya ofisi |
Tanganyika District Council
Tanganyika District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tanganyika District Council

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasissi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu, ufuatiliaji na Uchumi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Elimu Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Kitengo
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Miradi ya Elimu
    • Usafirishaji
    • Ufugaji Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Leseni za Biashara
    • Uvuvi
    • Ufugaji Nyuki
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Matumizi Bora ya Ardhi
    • Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Kitaifa
    • Video za Shughuli za Halmashauri
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Gazeti la Mpanda Leo
    • Makala Mbalimbali

SEKONDARI YA MILIONI 600 MBIONI KUKAMILIKA, DC BUSWELU ARIDHISHWA NA MAENDELEO YA UJENZI WA MRADI HUO.

Posted on: March 13th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Tanganyika Mheshimiwa Onesmo Buswelu ameelezea kuridhishwa kwake na maendeleo yaliyofikiwa katika ujenzi wa shule mpya ya sekondari katika eneo la Kamsenga,


Mheshimiwa Buswelu ameyasema hayo jana alipofanya ziara ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa mradi huo ambao unatarajiwa kuanza kupokea wanafunzi Mwezi wa Nne mwaka huu,


"Nimeridhishwa na maendeleo ya ujenzi wa mradi huu, lakini niwaombe Mkurugenzi na Mafundi mliosaini mikataba ya kujenga sekondari hii, kamilisheni mradi huu kwa wakati ili wanafunzi wetu waanze kusoma hapa mwezi wa nne" amesema DC Buswelu,


Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika Bw. Philemon Mwita amesema kuwa Ofisi ya Mkurugenzi itahakikisha shule hiyo inakamilika kwa wakati ili wanafunzi waanze kuyatumia madarasa hayo ifikapo mwezi wa nne mwaka huu.








View this post on Instagram











A post shared by Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika (@tanganyika.dc)

Shule ya sekondari ya Kamsenga ni miongoni mwa miradi mingi ya elimu inayotekelezwa wilayani Tanganyika wenye thamani ya zaidi ya Shilingi Milioni 600 ambao unatakelezwa katika eneo la Kamsenga, Kijiji cha Katobo, Kata ya Mpandandogo.

Matangazo

  • WALIOITWA KWENYE USAILI WA NAFASI YA WATENDAJI WA KIJIJI III July 07, 2022
  • WALIOITWA KWENYE USAILI WA NAFASI ZA DEREVA II, KATIBU MAHSUSI III NA WATENDAJI WA KIJIJI III July 07, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA TANGANYIKA July 16, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA TANGANYIKA July 16, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KARATU WAFANYA ZIARA TANGANYIKA KUJINOA KUHUSU BIASHARA YA KABONI, MKURUGENZI NA MWENYEKITI WA HALMASHAURI WAAHIDI MAKUBWA.

    April 08, 2025
  • WANANCHI ZAIDI YA 3700 KUONDOKANA NA CHANGAMOTO YA MAJI SAFI NA SALAMA, TANGANYIKA.

    April 09, 2025
  • MIAKA MINNE YA RAIS DKT. SAMIA, TANGANYIKA YAPOKEA ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 501 UTEKELEZAJI MIRADI YA MAENDELEO.

    April 14, 2025
  • WATENDAJI WA KATA & VIONGOZI WA WAFUGAJI WAPIGWA MSASA MATUMIZI BORA YA ARDHI NA UFUGAJI WA KISASA KATIKA WILAYA YA TANGANYIKA

    March 27, 2025
  • Tazama zote

video

MILIONI 328 KUKAMILISHA UJENZI WA OFISI ZA TFS TANGANYIKA, DC BUSWELU ASISITIZA UBORA WA MAJENGO.
Video nyingine

Mawasiliano ya Haraka

  • Taarifa kwa Umma
  • Orodha ya Madiwani
  • WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA HALMASHAURI YA TANGANYIKA
  • Gazeti la Mpanda Leo
  • Habari Mpya
  • Mwanzo
  • Matukio
  • Matangazo

Kurasa zinazofanana

  • Tovuti ya Ikuli
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi Tanzania
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti kuu ya Serikali

Wasomaji Mbalimbali Dunia

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free visitor counters

Dira ya Ramani

Wasiliana Nasi

    TONGWE - MAJALILA

    Sanduku la barua: S.L.P 01 KATAVI - TANGANYIKA

    Telephone: +255-252955264

    Simu ya mkononi: 0754870344

    Barua pepe: ded@tanganyikadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Sitemap
    • Huduma
    • Test

Copyright ©2018 Tanganyika-DC . All rights reserved.