• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe ya ofisi |
Tanganyika District Council
Tanganyika District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tanganyika District Council

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasissi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu, ufuatiliaji na Uchumi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Elimu Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Kitengo
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Miradi ya Elimu
    • Usafirishaji
    • Ufugaji Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Leseni za Biashara
    • Uvuvi
    • Ufugaji Nyuki
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Matumizi Bora ya Ardhi
    • Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Kitaifa
    • Video za Shughuli za Halmashauri
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Gazeti la Mpanda Leo
    • Makala Mbalimbali

RAIS SAMIA ASHANGILIWA UKANDA WA MISHAMO, DC BUSWELU MSTARI WA MBELE UKAGUZI WA MIRADI, KUHAKIKISHA INATEKELEZWA NA KUKAMILIKA.

Posted on: July 4th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Tanganyia Mhe. Onesmo Buswelu amefanya ziara ya kutembelea kukagua miradi mbalimbali na kuzindua mradi wa maji uliopo kijiji cha Isubangala, Kata ya Ilangu.


Katika ziara yake hiyo Mhe Buswelu alifanikiwa kutembelea mradi wa ujenzi wa bweni la wasichana shule ya Sekondari Bulamata, mradi wa maji Mazwe, mradi wa ujenzi jingo la OPD kijiji cha Ipwaga, Zahanati ya Bulamata, na kuzindua mradi wa maji kijiji cha Isubangala.


Akizungumza na wananchi katika maeneo ya ukanda wa Mishamo, DC Buswelu amewataka wakazi wote mishamo na Wananchi wa Wilaya ya Tanganyika, kutokubaliwa kutekwa akili na vibaka ambao wanatumia mwanya wa siasa kuwadanganya na kuwapotosha wananchi kuhusu mambo yaliyofanywa na Serikali chini ya Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.



Lakini pia amewataka kujiandaa vizuri na uchaguzi mkuu wa madiwani, wabunge na Rais ifikapo Oktoba mwaka huu 2025.


Wakati wa uzinduzi wa mradi wa maji Isubangala utakaonufaisha wakazi Zaidi ya 2000, Mhe Buswelu amewataka wananchi kuulinda mradi huo, ili uzidi kuwanufaisha kwa muda mrefu.



Nao wakazi wa Isubangala, na Mazwe wamemshukuru sana Mhe Rais Dkt Samia, kwa kuwaonna na kuwakumbuka kutoa fedha za ujenzi wa mradi huo, kwani kabla ya kuwepo mradi huo walilazimika kwenda umbali mrefu kutafuta maji.

Matangazo

  • WALIOITWA KWENYE USAILI WA NAFASI YA WATENDAJI WA KIJIJI III July 07, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA May 27, 2025
  • WALIOITWA KWENYE USAILI WA NAFASI ZA DEREVA II, KATIBU MAHSUSI III NA WATENDAJI WA KIJIJI III July 07, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA TANGANYIKA July 16, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • JUMIMINTA YAWAKUTANISHA WADAU WA UHIFADHI MISITU, MIRADI INAYOTEKELEZWA VIJIJINI IKAMILIKE KWA WAKATI IHUDUMIE WANANCHI.

    July 02, 2025
  • RAIS SAMIA ASHANGILIWA UKANDA WA MISHAMO, DC BUSWELU MSTARI WA MBELE UKAGUZI WA MIRADI, KUHAKIKISHA INATEKELEZWA NA KUKAMILIKA.

    July 04, 2025
  • MILIONI 525 ZATOLEWA MIKOPO YA 10% KWA VIJANA, WANAWAKE NA WENYE ULEMAVU| DC BUSWELU AAGIZA ELIMU KUTOLEWA.

    June 30, 2025
  • MKOA WA KATAVI WAANDAA JAMBO KUBWA KUHUSU MHE RAIS DKT SAMIA SULUHU HASSAN.

    July 04, 2025
  • Tazama zote

video

MILIONI 328 KUKAMILISHA UJENZI WA OFISI ZA TFS TANGANYIKA, DC BUSWELU ASISITIZA UBORA WA MAJENGO.
Video nyingine

Mawasiliano ya Haraka

  • Taarifa kwa Umma
  • Orodha ya Madiwani
  • WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA HALMASHAURI YA TANGANYIKA
  • Gazeti la Mpanda Leo
  • Habari Mpya
  • Mwanzo
  • Matukio
  • Matangazo

Kurasa zinazofanana

  • Tovuti ya Ikuli
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi Tanzania
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti kuu ya Serikali

Wasomaji Mbalimbali Dunia

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free visitor counters

Dira ya Ramani

Wasiliana Nasi

    TONGWE - MAJALILA

    Sanduku la barua: S.L.P 01 KATAVI - TANGANYIKA

    Telephone: +255-252955264

    Simu ya mkononi: 0754870344

    Barua pepe: ded@tanganyikadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Sitemap
    • Huduma
    • Test

Copyright ©2018 Tanganyika-DC . All rights reserved.