• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe ya ofisi |
Tanganyika District Council
Tanganyika District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tanganyika District Council

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasissi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu, ufuatiliaji na Uchumi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Elimu Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Kitengo
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Miradi ya Elimu
    • Usafirishaji
    • Ufugaji Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Leseni za Biashara
    • Uvuvi
    • Ufugaji Nyuki
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Matumizi Bora ya Ardhi
    • Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Kitaifa
    • Video za Shughuli za Halmashauri
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Gazeti la Mpanda Leo
    • Makala Mbalimbali

Mwenge 2019 wapita Tanganyika kwa kishindo

Posted on: April 16th, 2019

WANANCHI TANGANYIKA WAPOKEA MWENGE  2019  KWA KISHINDO

Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru 2019, Mzee Ali amewasifu wananchi wa Halmashauri ya wilaya ya Mpanda (Tanganyika ) kwa kujitokeza na kushiri kupokea na kukimbiza Mwenge. Pongezi hizo zimetolewa  Aprili 16, 2019 wakati wa makabidhiano ya Mbio za Mwenge kati ya Mkoa wa Katavi na Kigoma.

“Wananchi wa Tanganyika walijipaka haswaa na wanajua nini maana na umuhimu wa Mwenge. Wametupokea vizuri na kila tulipopita tulikuta wananchi wamejipanga jiani na kikubwa zaidi wametuandalia hadi urojo, tumejihisi tupo Zanzibar.” Alisema Ali.

Mwenge wa Uhuru umezindua, kuweka mawe ya msingi na kutembelea na kukagua jumla ya miradi 13 yenye thamani ya shilingi 2,987,469,044.93. Miradi yote imekubaliwa bila tatizo kwani ilikuwa kwenye viwango vinavyokubalika.

Aidha, viongozi wa wilaya ya Tanganyika walipongezwa kwa kusimamia vizuri miradi ya wananchi kwani serikali ya awamu ya tano haitaki watu wanaochezea hela za wananchi.

Mwenge wa Uhuru ulipokelewa wilayani Tanganyika katika viwanja vya shule ya sekondari Kabungu ukitokea Halmashauri ya wilaya ya Manispaa ya Mpanda na kukesha katika viwanja vya mpira Ifumbula ambapo umekimbizwa wilayani Tanganyika kwa jumla ya 231.4 kilometa.

Wananchi wa wilaya ya Tanganyika walikuwa na shauku ya kuupokea Mwenge, kulikuwa na vikundi vya burudani vya wananchi wenyeji zaidi ya 20, seti 3 za mziki , sinema na burudani mbali mbali. Watu hawakulala na waliburudika kuanzia mchana hadi asubuhi.

Naye mratibu wa Mwenge wa Halmashauri ya wilaya ya Mpanda (Tanganyika) Bw. Sylvanus Ntiyakenye ameeleza siri ya kufanikisha sherehe za mbio za Mwenge kuwa ni kuwashirikisha wadau mbali mbali wa maendeleo na wanakamati kwa kuwaweka wazi hasa katika matumizi ya michango waliyochangia.

Matangazo

  • WALIOITWA KWENYE USAILI WA NAFASI YA WATENDAJI WA KIJIJI III July 07, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA May 27, 2025
  • WALIOITWA KWENYE USAILI WA NAFASI ZA DEREVA II, KATIBU MAHSUSI III NA WATENDAJI WA KIJIJI III July 07, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA TANGANYIKA July 16, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • UKUSANYAJI WA KODI WAPAA TANGANYIKA – DC: 'NDIYO NJIA PEKEE YA KULETA MAENDELEO'

    May 27, 2025
  • UKUSANYAJI WA KODI WAPAA TANGANYIKA – DC: 'NDIYO NJIA PEKEE YA KULETA MAENDELEO'

    May 27, 2025
  • HALMASHAURI ZA WILAYA YA MOMBA NA MAKETE ZAKUTANA WILAYANI TANGANYIKA KUJIFUNZA BIASHARA YA KABONI.

    May 26, 2025
  • TANGANYIKA KUENDELEA KUWEKA MIKAKATI KUBORESHA SUALA LA LISHE, WAKUU WA IDARA YA ELIMU NA WAKUU WA SHULE WAPEWA MBINU KUSIMAMIA UPATIKANAJI CHAKULA MASHULENI.

    May 13, 2025
  • Tazama zote

video

MILIONI 328 KUKAMILISHA UJENZI WA OFISI ZA TFS TANGANYIKA, DC BUSWELU ASISITIZA UBORA WA MAJENGO.
Video nyingine

Mawasiliano ya Haraka

  • Taarifa kwa Umma
  • Orodha ya Madiwani
  • WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA HALMASHAURI YA TANGANYIKA
  • Gazeti la Mpanda Leo
  • Habari Mpya
  • Mwanzo
  • Matukio
  • Matangazo

Kurasa zinazofanana

  • Tovuti ya Ikuli
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi Tanzania
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti kuu ya Serikali

Wasomaji Mbalimbali Dunia

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free visitor counters

Dira ya Ramani

Wasiliana Nasi

    TONGWE - MAJALILA

    Sanduku la barua: S.L.P 01 KATAVI - TANGANYIKA

    Telephone: +255-252955264

    Simu ya mkononi: 0754870344

    Barua pepe: ded@tanganyikadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Sitemap
    • Huduma
    • Test

Copyright ©2018 Tanganyika-DC . All rights reserved.