• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe ya ofisi |
Tanganyika District Council
Tanganyika District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tanganyika District Council

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasissi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu, ufuatiliaji na Uchumi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Elimu Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Kitengo
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Miradi ya Elimu
    • Usafirishaji
    • Ufugaji Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Leseni za Biashara
    • Uvuvi
    • Ufugaji Nyuki
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Matumizi Bora ya Ardhi
    • Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Kitaifa
    • Video za Shughuli za Halmashauri
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Gazeti la Mpanda Leo
    • Makala Mbalimbali

Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Tanganyika Aongoza Bonanza laKuhamasisha Upigaji Kura kwa amani Tarehe 29 Oktoba 2025.

Posted on: October 13th, 2025

HAMASA UCHAGUZI OKTOBA 29.

Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Tanganyika,Mheshimiwa Kagemlo charlse, ameongoza bonanza maalum lililowakutanisha wananchipamoja na watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika katika kuhamasishaushiriki wa wananchi kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika tarehe 29Oktoba 2025.

Bonanza hilo limefanyika katika Kata ya Karema,limelenga kuwahamasisha wananchi wa maeneo hayo na Jimbo la Tanganyika kwaujumla kujitokeza kwa wingi kupiga kura ili kuwachagua viongozi wanaowataka nawanaostahili kuwaletea maendeleo.

Akizungumza katika tukio hilo, Mhe. Kagemlo amewatakawananchi kutumia haki yao ya kikatiba kwa amani na utulivu, na kujiepusha naaina yoyote ya vurugu kipindi chote cha uchaguzi. Amesisitiza kuwa amani ninguzo muhimu ya maendeleo, hivyo kila mwananchi anapaswa kuwa mstari wa mbelekuhakikisha uchaguzi unafanyika katika hali ya utulivu na usalama.

“Kura yako ni sauti yako. Njoo upige kura kwaamani ili kumchagua kiongozi unayemwamini atakupeleka kwenye maendeleo,”alisema Mhe. Kagemlo.

Tukio hilo limepambwa na michezo mbalimbalikama mpira wa miguu, mpira wa pete, kukimbiza kuku,kuvuta Kamba na kukibia naviroba, burudani ya muziki Pamoja na kwaya na ujumbe wa amani, likiwa ni sehemuya juhudi za Tume ya Uchaguzi na wadau wengine katika kuhakikisha wananchiwanajitokeza kwa wingi kushiriki uchaguzi kwa njia ya Amani.

Matangazo

  • WALIOITWA KWENYE USAILI WA NAFASI YA WATENDAJI WA KIJIJI III July 07, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA May 27, 2025
  • WALIOITWA KWENYE USAILI WA NAFASI ZA DEREVA II, KATIBU MAHSUSI III NA WATENDAJI WA KIJIJI III July 07, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA TANGANYIKA July 16, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Tanganyika Aongoza Bonanza laKuhamasisha Upigaji Kura kwa amani Tarehe 29 Oktoba 2025.

    October 13, 2025
  • WANANCHI WA KIJIJI CHA ITETEMYA, HALMASHAURI YA TANGANYIKA, WAZINDUAZOEZI LA UTAMBUZI NA UTOAJI WA CHANJO KWA MIFUGO

    October 10, 2025
  • DC ONESMO BUSWELU AKABIDHI MIFUKO YA SARUJI KUCHOCHEA UJENZI WA BWENI JIPYA LA WASICHANA SIBWESA SEKONDARI.

    October 08, 2025
  • WADAU NA WANANCHI WAASWA KUUNGANA PAMOJA UJEZI WA VITUO VYA MALEZI , MAKUZI NA MAENDELEO YA WATOTO HALMASHAURI YA WILAYA YA TANGANYIKA.

    October 04, 2025
  • Tazama zote

video

MILIONI 328 KUKAMILISHA UJENZI WA OFISI ZA TFS TANGANYIKA, DC BUSWELU ASISITIZA UBORA WA MAJENGO.
Video nyingine

Mawasiliano ya Haraka

  • Taarifa kwa Umma
  • Orodha ya Madiwani
  • WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA HALMASHAURI YA TANGANYIKA
  • Gazeti la Mpanda Leo
  • Habari Mpya
  • Mwanzo
  • Matukio
  • Matangazo

Kurasa zinazofanana

  • Tovuti ya Ikuli
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi Tanzania
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti kuu ya Serikali

Wasomaji Mbalimbali Dunia

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free visitor counters

Dira ya Ramani

Wasiliana Nasi

    TONGWE - MAJALILA

    Sanduku la barua: S.L.P 01 KATAVI - TANGANYIKA

    Telephone: +255-252955264

    Simu ya mkononi: 0754870344

    Barua pepe: ded@tanganyikadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Sitemap
    • Huduma
    • Test

Copyright ©2018 Tanganyika-DC . All rights reserved.