• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe ya ofisi |
Tanganyika District Council
Tanganyika District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tanganyika District Council

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasissi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu, ufuatiliaji na Uchumi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Elimu Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Kitengo
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Miradi ya Elimu
    • Usafirishaji
    • Ufugaji Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Leseni za Biashara
    • Uvuvi
    • Ufugaji Nyuki
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Matumizi Bora ya Ardhi
    • Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Kitaifa
    • Video za Shughuli za Halmashauri
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Gazeti la Mpanda Leo
    • Makala Mbalimbali

Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Maendeleo ya Mazao , Wizara ya Kilimo Aongoza Mafunzo kwa Wakulima Kata ya Kasekese, Halmashauri wilaya ya Tanganyika.

Posted on: October 15th, 2025

Katika maandalizi ya msimu mpya wa kilimo, Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Maendeleo ya Mazao, Wizara ya Kilimo, Mhe. Samson Poneja, amefika Kata ya Kasekese, Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika, kutoa mafunzo na kuhamasisha matumizi ya mbolea, pembejeo na mbegu bora kwa wakulima.

Akimuwakilisha Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Mhe. Poneja amewaomba wakulima wa eneo hilo kujizatiti kufuata taratibu zote za kilimo, kuanzia maandalizi ya mashamba, kupanda hadi kuvuna ili kuongeza uzalishaji wa mazao.

Mheshimiwa Poneja pia amesisitiza umuhimu wa wakulima kutambua hali ya udongo wa mashamba yao. Amesema serikali imesambaza mashine za kupima ubora wa udongo ili wakulima waweze kujua rutuba ya ardhi yao na kupata ushauri wa kitaalamu juu ya pembejeo zinazofaa.


“Tunaposema ‘mali shambani silaha mbolea’, ni lazima tuhakikishe afya ya udongo katika maeneo yetu ni nzuri, ndomana serikali imesambaza mashine kwajili ya kupima afya ya udongo na kutoa ushauri wa kitaalamu juu ya virutubisho na pembejeo sahihi za kuweka kwenye eneo lako.,” amesema Mhe. Poneja.

Aidha, amewaagiza wakulima kujisajili kwenye daftari la wakulima kupata namba ya mkulima, hii ni hatua muhimu ambayo itawawezesha kunufaika na mpango wa ruzuku wa serikali kwa pembejeo na mbolea.
Zoezi hilo la mafunzo limeambatana na utekelezaji wa uandikishaji wa wakulima na ugawaji wa namba kwa wale waliokuwa tayari wamejiandikisha kwenye daftari la mkulima.

Matangazo

  • WALIOITWA KWENYE USAILI WA NAFASI YA WATENDAJI WA KIJIJI III July 07, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA May 27, 2025
  • WALIOITWA KWENYE USAILI WA NAFASI ZA DEREVA II, KATIBU MAHSUSI III NA WATENDAJI WA KIJIJI III July 07, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA TANGANYIKA July 16, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Maendeleo ya Mazao , Wizara ya Kilimo Aongoza Mafunzo kwa Wakulima Kata ya Kasekese, Halmashauri wilaya ya Tanganyika.

    October 15, 2025
  • Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Tanganyika Aongoza Bonanza laKuhamasisha Upigaji Kura kwa amani Tarehe 29 Oktoba 2025.

    October 13, 2025
  • WANANCHI WA KIJIJI CHA ITETEMYA, HALMASHAURI YA TANGANYIKA, WAZINDUAZOEZI LA UTAMBUZI NA UTOAJI WA CHANJO KWA MIFUGO

    October 10, 2025
  • DC ONESMO BUSWELU AKABIDHI MIFUKO YA SARUJI KUCHOCHEA UJENZI WA BWENI JIPYA LA WASICHANA SIBWESA SEKONDARI.

    October 08, 2025
  • Tazama zote

video

MILIONI 328 KUKAMILISHA UJENZI WA OFISI ZA TFS TANGANYIKA, DC BUSWELU ASISITIZA UBORA WA MAJENGO.
Video nyingine

Mawasiliano ya Haraka

  • Taarifa kwa Umma
  • Orodha ya Madiwani
  • WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA HALMASHAURI YA TANGANYIKA
  • Gazeti la Mpanda Leo
  • Habari Mpya
  • Mwanzo
  • Matukio
  • Matangazo

Kurasa zinazofanana

  • Tovuti ya Ikuli
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi Tanzania
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti kuu ya Serikali

Wasomaji Mbalimbali Dunia

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free visitor counters

Dira ya Ramani

Wasiliana Nasi

    TONGWE - MAJALILA

    Sanduku la barua: S.L.P 01 KATAVI - TANGANYIKA

    Telephone: +255-252955264

    Simu ya mkononi: 0754870344

    Barua pepe: ded@tanganyikadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Sitemap
    • Huduma
    • Test

Copyright ©2018 Tanganyika-DC . All rights reserved.