• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe ya ofisi |
Tanganyika District Council
Tanganyika District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tanganyika District Council

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasissi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu, ufuatiliaji na Uchumi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Elimu Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Kitengo
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Miradi ya Elimu
    • Usafirishaji
    • Ufugaji Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Leseni za Biashara
    • Uvuvi
    • Ufugaji Nyuki
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Matumizi Bora ya Ardhi
    • Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Kitaifa
    • Video za Shughuli za Halmashauri
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Gazeti la Mpanda Leo
    • Makala Mbalimbali

MKOA WA KATAVI WAANDAA JAMBO KUBWA KUHUSU MHE RAIS DKT SAMIA SULUHU HASSAN.

Posted on: July 4th, 2025

Katibu Tawala Mkoa wa Katavi Ndugu Albert Msovela amewataka wananchi wote wa Mkoa wa Katavi kujitokeza kwa wingi kwenye tamasha kubwa la Samia Day la kutangaza Mafanikio ya Serikali yaliyopatikana kwa kipindi cha miaka 5 ya Uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan.



Tamasha hilo litafanyika viwanja vya Shule ya Msingi Inyonga vilivyopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Mlele, tarehe 04-05/07/2025, na mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mhe. Mwanamvua Hoza Mrindoko.


Lengo ni kumpongeza na kumshukuru Mhe, Rais wa Tanzania Dkt Samia Suluhu kwa mchango wake wa kuleta fedha nyingi (Tshs. 1,345,153,585,254.20 Trilioni 1.3) ambazo zimesaidia kutekelezwa kwa miradi mingi ya maendeleo Mkoani Katavi katika Sekta zote za maendeleo na huduma kwa Jamii.


Tamasha hilo litaenda sambamba na kutembelea hifadhi ya taifa ya Katavi, kutembelea miradi mikubwa ya kimkakati ikiwemo Mradi wa Maji wa Miji 28 uliopo Shanwe, Vihenge vya kuhifadhia mazao, Hospitali ya Rufaa ya Mkoa na kituo cha kupozea umeme wa Grid ya Taifa.


Aidha RAS-Msovela amewaomba wananchi wote wa Katavi na makundi yote katika Jamii wakiwemo Bodaboda, Wasanii, Bajaji, Mama Lishe, Machinga na makundi mengine kujitokeza kwa wingi katika Matembezi ya Hiari na maadhimisho yote kwa ujumla.


Vilevile, ameziomba Taasisi zote za Serikali na zisizo za Serikali, Mashirika ya Kiraia, Sekta binafsi, Viongozi na Wananchi wa Mikoa ya Jirani na wadau wa maendeleo kujumuika nasi katika tamasha hili kubwa.


KAULI MBIU: “Asante Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa fedha za Maendeleo, Katavi Imara na Maendeleo Imara”.

Matangazo

  • WALIOITWA KWENYE USAILI WA NAFASI YA WATENDAJI WA KIJIJI III July 07, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA May 27, 2025
  • WALIOITWA KWENYE USAILI WA NAFASI ZA DEREVA II, KATIBU MAHSUSI III NA WATENDAJI WA KIJIJI III July 07, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA TANGANYIKA July 16, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • JUMIMINTA YAWAKUTANISHA WADAU WA UHIFADHI MISITU, MIRADI INAYOTEKELEZWA VIJIJINI IKAMILIKE KWA WAKATI IHUDUMIE WANANCHI.

    July 02, 2025
  • RAIS SAMIA ASHANGILIWA UKANDA WA MISHAMO, DC BUSWELU MSTARI WA MBELE UKAGUZI WA MIRADI, KUHAKIKISHA INATEKELEZWA NA KUKAMILIKA.

    July 04, 2025
  • MILIONI 525 ZATOLEWA MIKOPO YA 10% KWA VIJANA, WANAWAKE NA WENYE ULEMAVU| DC BUSWELU AAGIZA ELIMU KUTOLEWA.

    June 30, 2025
  • MKOA WA KATAVI WAANDAA JAMBO KUBWA KUHUSU MHE RAIS DKT SAMIA SULUHU HASSAN.

    July 04, 2025
  • Tazama zote

video

MILIONI 328 KUKAMILISHA UJENZI WA OFISI ZA TFS TANGANYIKA, DC BUSWELU ASISITIZA UBORA WA MAJENGO.
Video nyingine

Mawasiliano ya Haraka

  • Taarifa kwa Umma
  • Orodha ya Madiwani
  • WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA HALMASHAURI YA TANGANYIKA
  • Gazeti la Mpanda Leo
  • Habari Mpya
  • Mwanzo
  • Matukio
  • Matangazo

Kurasa zinazofanana

  • Tovuti ya Ikuli
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi Tanzania
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti kuu ya Serikali

Wasomaji Mbalimbali Dunia

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free visitor counters

Dira ya Ramani

Wasiliana Nasi

    TONGWE - MAJALILA

    Sanduku la barua: S.L.P 01 KATAVI - TANGANYIKA

    Telephone: +255-252955264

    Simu ya mkononi: 0754870344

    Barua pepe: ded@tanganyikadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Sitemap
    • Huduma
    • Test

Copyright ©2018 Tanganyika-DC . All rights reserved.