• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe ya ofisi |
Tanganyika District Council
Tanganyika District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tanganyika District Council

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasissi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu, ufuatiliaji na Uchumi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Elimu Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Kitengo
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Miradi ya Elimu
    • Usafirishaji
    • Ufugaji Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Leseni za Biashara
    • Uvuvi
    • Ufugaji Nyuki
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Matumizi Bora ya Ardhi
    • Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Kitaifa
    • Video za Shughuli za Halmashauri
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Gazeti la Mpanda Leo
    • Makala Mbalimbali

MILIONI 525 ZATOLEWA MIKOPO YA 10% KWA VIJANA, WANAWAKE NA WENYE ULEMAVU| DC BUSWELU AAGIZA ELIMU KUTOLEWA.

Posted on: June 30th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Tanganyika Mhe Onesmo Buswelu kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Katavi aliyetarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye hafla ya utoaji wa hundi ya mikopo yenye thamani ya Tsh Milioni 525, kwa vikundi vya vijana, wanawake na wenye ulemavu, ameagiza Halmashauri kuwapatia elimu ya kitaalamu wanufaika wa mikopo hiyo ili waweze kujikwamua kimaisha.



Akizungumza katika hafla hiyo DC Buswelu amesema kuwa wanufaika hao licha ya kupata fedha hizo, wengi wao wanakosa elimu na ujuzi wa kuendeleza na kuzalisha fedha hizo, ili waweze kulipa marejesho yao kwa wakati.


Aliongeza kuwa Halmashauri ina fursa nyingi sana ambazo vijana, wanawake na wenye ulemavu wanaweza kufanya biashara, hivyo kama Serikali inapaswa kuwalisha fursa hizo wanufaika na sio kuzificha na kutowapatia kabisa, Halmashauri inatakiwa kuvilea vikundi hivyo ii viweze kukua.



Kwa upande wa Afisa Maendeleo ya Jamii Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika Halima Kitumba amesema kuwa, wametoa mikopo hiyo kwa vikundi 106 na hivyo wanampango kabambe wa kuhakikisha wanufaika hao wanarejesha fedha hizo kwa wakati.


“Changamoto kwa wanufaika wa mikopo hii wengi wao wanashindwa kurejesha mikopo yao kwa wakati, lakini tunamshukuru sana Mhe Rais Dkt Samia Suluhu kuweka utaratibu mzuri wa utolewaji wa mikopo hii, ambapo kuna timu zimeandaliwa mahususi kuanzia Halmashauri, Wilaya na Katani, mikakati tuliyoiweka ili watu kurejesha mikopo kuna kamati za ufuatiliaji zina majukumu yao.”


“Hii ni awamu ya pili kwa Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika kutoa mikopo hii, na urejeshaji wa mikopo iko vizuri” Halima Kitumba-DCDO.


Kwa upande wa wanufaika wa mkopo huu, wamemshukuru Mhe Rais wa Tanzania Dkt Samia Suluhu kwa kurudisha utoaji wa mikopo hii, na wameahidi kuisimamia kwenye biashara zao ili waweze kurejesha fedha hizo katika Halmashauri kwa wakati ili na wengine waweze kukopeshwa.

Matangazo

  • WALIOITWA KWENYE USAILI WA NAFASI YA WATENDAJI WA KIJIJI III July 07, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA May 27, 2025
  • WALIOITWA KWENYE USAILI WA NAFASI ZA DEREVA II, KATIBU MAHSUSI III NA WATENDAJI WA KIJIJI III July 07, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA TANGANYIKA July 16, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • DED TANGANYIKA AAGIZA UKAMILISHWAJI WA MIRADI| WANANCHI WATAKIWA KUJITOKEZA KWA WINGI KUUPOKEA MWENGE WA UHURU.

    July 11, 2025
  • UJENZI WA MELI NNE (4) BANDARI YA KAREMA WAFIKIA HATUA NZURI| DC BUSWELU AFIKA KUJIONEA MAKAA YA MAWE.

    July 10, 2025
  • JUMIMINTA YAWAKUTANISHA WADAU WA UHIFADHI MISITU, MIRADI INAYOTEKELEZWA VIJIJINI IKAMILIKE KWA WAKATI IHUDUMIE WANANCHI.

    July 02, 2025
  • RAIS SAMIA ASHANGILIWA UKANDA WA MISHAMO, DC BUSWELU MSTARI WA MBELE UKAGUZI WA MIRADI, KUHAKIKISHA INATEKELEZWA NA KUKAMILIKA.

    July 04, 2025
  • Tazama zote

video

MILIONI 328 KUKAMILISHA UJENZI WA OFISI ZA TFS TANGANYIKA, DC BUSWELU ASISITIZA UBORA WA MAJENGO.
Video nyingine

Mawasiliano ya Haraka

  • Taarifa kwa Umma
  • Orodha ya Madiwani
  • WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA HALMASHAURI YA TANGANYIKA
  • Gazeti la Mpanda Leo
  • Habari Mpya
  • Mwanzo
  • Matukio
  • Matangazo

Kurasa zinazofanana

  • Tovuti ya Ikuli
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi Tanzania
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti kuu ya Serikali

Wasomaji Mbalimbali Dunia

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free visitor counters

Dira ya Ramani

Wasiliana Nasi

    TONGWE - MAJALILA

    Sanduku la barua: S.L.P 01 KATAVI - TANGANYIKA

    Telephone: +255-252955264

    Simu ya mkononi: 0754870344

    Barua pepe: ded@tanganyikadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Sitemap
    • Huduma
    • Test

Copyright ©2018 Tanganyika-DC . All rights reserved.