• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe ya ofisi |
Tanganyika District Council
Tanganyika District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tanganyika District Council

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasissi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu, ufuatiliaji na Uchumi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Elimu Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Kitengo
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Miradi ya Elimu
    • Usafirishaji
    • Ufugaji Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Leseni za Biashara
    • Uvuvi
    • Ufugaji Nyuki
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Matumizi Bora ya Ardhi
    • Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Kitaifa
    • Video za Shughuli za Halmashauri
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Gazeti la Mpanda Leo
    • Makala Mbalimbali

KIWANDA CHA PAMBA KUTOA MSAADA KWA JAMII

Posted on: March 2nd, 2021


Mkurugenzi wa kiwanda cha pamba (NGS) wilayani Tanganyika, Mhe. Njalu Silanga amepongezwa kwa kufanya uwekezaji wa kuwanufaisha kiuchumi wakulima wa pamba na wajasiriamali. Pongezi hizo zimetolewa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Uwekezaji, Mhe. Prof. Kitila Mkumbo wakati alipotembelea na kujionea kiwanda hicho Machi 02, 2021.

Uwepo wa kiwanda hiki kikubwa wilayani Tanganyika kimekuwa mkombozi kwa wakulima wa pamba kwani kabla ya kuwepo kwa kiwanda hiki, wakulima walitegemea wanunuzi wa kutoka mikoa ya kanda ya ziwa ambapo pamba nyingi ya wakulima ilikuwa inaharibika kwa kunyeshewa na mvua. Kwa sasa pamba yote inayolimwa katika mikoa ya Katavi na Kigoma inanunuliwa na mmiliki huyo wa kiwanda cha pamba kilichopo wilayani Tanganyika.

Aidha, Prof. Mkumbo ameendelea kumpongeza mwekezaji huyo kwa kuzalisha ajira ya watu 180 na kufanya mzunguko wa kiuchumi kwa wananchi wa wilaya ya Tanganyika.

“ Kuwepo kwa kiwanda hiki kikubwa chenye wafanyakazi 180 wa kiwanda kunasababisa wajasiriamali wanaouza chakula kupata fedha kwani wafanya kazi wa kiwandani wanahitaji kunywa chai na chakula cha mchana kwa kununua. Waendesha bodaboda na bajaj nao wanapata fedha kwa kuwasafirisha wafanyakazi na watu wengine wanaokuja kupata huduma mbalimbali”. Prof. Mkumbo

Mhe. Silanga amenza kuweka mikakati ya kuhakikisha kila mwananchi aliyopo Tanganyika ananufaika na uwepo wa kiwanda hicho kikubwa cha pamba moja kwa moja au kwa namna nyingine. Kwa msimu huu amewawezesha maafisa ugani na wakulima bora wa zao la pamba wa kata zote 16 za halmashauri ya wilaya ya Tanganyika kwa kuwapa mafuta ya pikipiki na posho ili waweze kuwatembelea mara kwa mara wakulima wa zao la pamba na kutatua changamoto wanazokutana nazo.

“Kwa msimu ujao nitalima hekta 500 za zao la pamba wilayani Tanganyika kwa lengo la kuwa shamba darasa ili wakulima wajifunze kwangu. Nitakuwa nalima mwezi wa tano na kuvuna mwezi wa tisa kwa kilimo cha umwagiliaji. Ikifika mwezi wa kumi na moja nalima tena ndani ya shamba hilo hilo. Lengo niweze kuwaonesha wakulima wa pamba kuwa unaweza kutumia shambo moja kwa kulima pamba kwa misimu miwili kwa mwaka”. Mhe. Silanga

Hata hivyo, Mhe. Silanga ameanza kujipanga kutoa huduma za msaada kwa jamii (Community Social Responsibility-CSR) walau kwa kuanza na utowaji wa madawati. Madawati hayo yatapelekwa kwa baadhi ya shule za kata za Mpandandogo, Sibwesa na Kasekese. Lakini pia atasikiliza ushauri wa viongozi na uhitaji wa msaada huo uelekezwe wapi. Lengo la msaada huu ni kuendeleza kudumisha ushirikiano kwa jamii na viongozi.

Matangazo

  • WALIOITWA KWENYE USAILI WA NAFASI YA WATENDAJI WA KIJIJI III July 07, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA May 27, 2025
  • WALIOITWA KWENYE USAILI WA NAFASI ZA DEREVA II, KATIBU MAHSUSI III NA WATENDAJI WA KIJIJI III July 07, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA TANGANYIKA July 16, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • UKUSANYAJI WA KODI WAPAA TANGANYIKA – DC: 'NDIYO NJIA PEKEE YA KULETA MAENDELEO'

    May 27, 2025
  • UKUSANYAJI WA KODI WAPAA TANGANYIKA – DC: 'NDIYO NJIA PEKEE YA KULETA MAENDELEO'

    May 27, 2025
  • HALMASHAURI ZA WILAYA YA MOMBA NA MAKETE ZAKUTANA WILAYANI TANGANYIKA KUJIFUNZA BIASHARA YA KABONI.

    May 26, 2025
  • TANGANYIKA KUENDELEA KUWEKA MIKAKATI KUBORESHA SUALA LA LISHE, WAKUU WA IDARA YA ELIMU NA WAKUU WA SHULE WAPEWA MBINU KUSIMAMIA UPATIKANAJI CHAKULA MASHULENI.

    May 13, 2025
  • Tazama zote

video

MILIONI 328 KUKAMILISHA UJENZI WA OFISI ZA TFS TANGANYIKA, DC BUSWELU ASISITIZA UBORA WA MAJENGO.
Video nyingine

Mawasiliano ya Haraka

  • Taarifa kwa Umma
  • Orodha ya Madiwani
  • WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA HALMASHAURI YA TANGANYIKA
  • Gazeti la Mpanda Leo
  • Habari Mpya
  • Mwanzo
  • Matukio
  • Matangazo

Kurasa zinazofanana

  • Tovuti ya Ikuli
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi Tanzania
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti kuu ya Serikali

Wasomaji Mbalimbali Dunia

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free visitor counters

Dira ya Ramani

Wasiliana Nasi

    TONGWE - MAJALILA

    Sanduku la barua: S.L.P 01 KATAVI - TANGANYIKA

    Telephone: +255-252955264

    Simu ya mkononi: 0754870344

    Barua pepe: ded@tanganyikadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Sitemap
    • Huduma
    • Test

Copyright ©2018 Tanganyika-DC . All rights reserved.