• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe ya ofisi |
Tanganyika District Council
Tanganyika District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tanganyika District Council

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasissi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu, ufuatiliaji na Uchumi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Elimu Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Kitengo
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Miradi ya Elimu
    • Usafirishaji
    • Ufugaji Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Leseni za Biashara
    • Uvuvi
    • Ufugaji Nyuki
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Matumizi Bora ya Ardhi
    • Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Kitaifa
    • Video za Shughuli za Halmashauri
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Gazeti la Mpanda Leo
    • Makala Mbalimbali

JUMIMINTA YAWAKUTANISHA WADAU WA UHIFADHI MISITU, MIRADI INAYOTEKELEZWA VIJIJINI IKAMILIKE KWA WAKATI IHUDUMIE WANANCHI.

Posted on: July 2nd, 2025

Jumuiya ya Uhifadhi wa Misitu na Milima ya Ntakata (JUMIMINTA) imetakiwa kuendelea kusimamia vyema zoezi la uhifadhi wa misitu ili iweze kuendelea kuleta tija kwa wananchi wanaozungukwa na misitu hiyo.



Wito huo umetolewa na Mkuu wa Idara ya Utumishi Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika Bw. Clavery Reginald Vallence alipokuwa akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika katika kikao kilichofanyika jana na leo kilichohusisha Jumiminta na wadau wa maendeleo na uhifadhi wa misitu wilayani Tanganyika.



Bw. Clavery amesema kuwa, misitu imekuwa na mchango mkubwa sana kwa maendeleo ya wilaya ya Tanganyika na vijiji vyake hivyo ni ni lazima misitu hiyo ilindwe na kuhifadhiwa kwa wivu mkubwa,


“Sote ni mashahidi, wilaya yetu imekuwa ikinufaika kwa kiwango kikubwa kutokana na biashara inayohusisha uhifadhi wa misitu, biashara ya Kaboni, hivyo ni jukumu letu sote kuhakikisha misitu yetu inalindwa kwa wivu mkubwa” amesema Bw. Clavery.



Katika hatua nyingine, Bw. Clavery amewataka wasimamizi wa miradi mbalimbali inayotekelezwa katika vijiji vyote nane vinavyonufaika na biashara ya Kaboni kuhakikisha miradi hiyo inakamilika kwa wakati na haraka ili iweze kunufaisha wananchi wa maeneo husika,


Aidha, viongozi wa serikali za vijiji vinavyonufaika na biashara ya Kaboni katika wilaya ya Tanganyika wamekumbushwa kufanya mikutano ya kijiji katika kila robo ya mwaka ili kuweza kufanya tathimini mbalimbali za uhifadhi wa misitu, maendeleo ya miradi na mapato na matumizi ili kuweza kuleta dhana ya uwazi na uwajibikaji katika maeneo yao.



Wilaya ya Tanganyika imejizolea umaarufu mkubwa ndani na nje ya Tanzania kwa kufanikiwa kutekeleza vyema biashara ya Kaboni na kuwezesha kuiingizia halmashauri ya wilaya hiyo mapato ya zaidi ya shilingi Bilioni 22 tangu kuanza kwa biashara hiyo mpaka sasa

Matangazo

  • WALIOITWA KWENYE USAILI WA NAFASI YA WATENDAJI WA KIJIJI III July 07, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA May 27, 2025
  • WALIOITWA KWENYE USAILI WA NAFASI ZA DEREVA II, KATIBU MAHSUSI III NA WATENDAJI WA KIJIJI III July 07, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA TANGANYIKA July 16, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • JUMIMINTA YAWAKUTANISHA WADAU WA UHIFADHI MISITU, MIRADI INAYOTEKELEZWA VIJIJINI IKAMILIKE KWA WAKATI IHUDUMIE WANANCHI.

    July 02, 2025
  • RAIS SAMIA ASHANGILIWA UKANDA WA MISHAMO, DC BUSWELU MSTARI WA MBELE UKAGUZI WA MIRADI, KUHAKIKISHA INATEKELEZWA NA KUKAMILIKA.

    July 04, 2025
  • MILIONI 525 ZATOLEWA MIKOPO YA 10% KWA VIJANA, WANAWAKE NA WENYE ULEMAVU| DC BUSWELU AAGIZA ELIMU KUTOLEWA.

    June 30, 2025
  • MKOA WA KATAVI WAANDAA JAMBO KUBWA KUHUSU MHE RAIS DKT SAMIA SULUHU HASSAN.

    July 04, 2025
  • Tazama zote

video

MILIONI 328 KUKAMILISHA UJENZI WA OFISI ZA TFS TANGANYIKA, DC BUSWELU ASISITIZA UBORA WA MAJENGO.
Video nyingine

Mawasiliano ya Haraka

  • Taarifa kwa Umma
  • Orodha ya Madiwani
  • WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA HALMASHAURI YA TANGANYIKA
  • Gazeti la Mpanda Leo
  • Habari Mpya
  • Mwanzo
  • Matukio
  • Matangazo

Kurasa zinazofanana

  • Tovuti ya Ikuli
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi Tanzania
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti kuu ya Serikali

Wasomaji Mbalimbali Dunia

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free visitor counters

Dira ya Ramani

Wasiliana Nasi

    TONGWE - MAJALILA

    Sanduku la barua: S.L.P 01 KATAVI - TANGANYIKA

    Telephone: +255-252955264

    Simu ya mkononi: 0754870344

    Barua pepe: ded@tanganyikadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Sitemap
    • Huduma
    • Test

Copyright ©2018 Tanganyika-DC . All rights reserved.