• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe ya ofisi |
Tanganyika District Council
Tanganyika District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tanganyika District Council

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasissi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu, ufuatiliaji na Uchumi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Elimu Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Kitengo
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Miradi ya Elimu
    • Usafirishaji
    • Ufugaji Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Leseni za Biashara
    • Uvuvi
    • Ufugaji Nyuki
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Matumizi Bora ya Ardhi
    • Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Kitaifa
    • Video za Shughuli za Halmashauri
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Gazeti la Mpanda Leo
    • Makala Mbalimbali

HALMASHAURI YA WILAYA YA TANGANYIKA YAPATA HATI SAFI UKAGUZI WA HESABU ZA CAG.

Posted on: June 17th, 2025

Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika imeendelea kufanya vizuri katika hesabu na matumizi sahihi ya fedha ambapo kwa mwaka wa fedha wa 2024/2025 inefanikiwa kupata hati safi baada ya ukaguzi wa hesabu za serikali kutoka ofisi ya CAG.



Akitaja mafanikio hayo, mkaguzi wa hesabu za Serikali kutoka ofisi ya mdhibiti na mkaguzi wa hesabu za Serikali CAG, Ndugu CPA Kasea Lyoba ameipongeza Halmashauri, mbele ya Baraza maalum la kujadili hoja za CAG.


Akimuwakilisha Mgeni rasmi ambaye ni Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mhe Mwanamvua Mrindoko, Katibu Tawala wa Mkoa wa Katavi Albert  Msovela amewataka watumishi wa Halmashauri kuwa na uzalendo, kuwajibika, kujitoa ili kutimiza wajibu na majukumu yao ya kazi, ili kuondoa hoja zisizo na msingi.



Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe Diwani Hamad Mapengo, ameishukuru Halmashauri, Baraza la madiwani, ofisi wa mkuu wa wilaya, watumishi wa Halmashauri na ofisi ya Mkuu wa Mkoa kwa kuwa mstari wa mbele katika kutumiza wajibu wa kiutendaji katika nafasi mbalimbali.



Aidha Mkuu wa Wilaya ya Tanganyika Mhe Onesmo Buswelu, amesema kuwa amemshukuru, Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kutoa fedha za miradi mbalimbali, iliyotekelezwa, na inayoendelea kutekelezwa kwa kipindi chote cha miaka minne akiwa madarakani.



Matangazo

  • WALIOITWA KWENYE USAILI WA NAFASI YA WATENDAJI WA KIJIJI III July 07, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA May 27, 2025
  • WALIOITWA KWENYE USAILI WA NAFASI ZA DEREVA II, KATIBU MAHSUSI III NA WATENDAJI WA KIJIJI III July 07, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA TANGANYIKA July 16, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA TANGANYIKA YAPATA HATI SAFI UKAGUZI WA HESABU ZA CAG.

    June 17, 2025
  • MKUU WA WILAYA AMEIAGIZA MENEJIMENTI KUTATMINI MIRADI YA MWENGE WA UHURU 2025.

    June 26, 2025
  • HOSPITALI YA WILAYA YA TANGANYIKA YENYE THAMANI YA BIL 3.48 INAVYOSAIDIA WANANCHI.

    June 17, 2025
  • JAMII YATAKIWA KUWALINDA WATOTO, SIKU YA MTOTO WA AFRIKA

    June 16, 2025
  • Tazama zote

video

MILIONI 328 KUKAMILISHA UJENZI WA OFISI ZA TFS TANGANYIKA, DC BUSWELU ASISITIZA UBORA WA MAJENGO.
Video nyingine

Mawasiliano ya Haraka

  • Taarifa kwa Umma
  • Orodha ya Madiwani
  • WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA HALMASHAURI YA TANGANYIKA
  • Gazeti la Mpanda Leo
  • Habari Mpya
  • Mwanzo
  • Matukio
  • Matangazo

Kurasa zinazofanana

  • Tovuti ya Ikuli
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi Tanzania
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti kuu ya Serikali

Wasomaji Mbalimbali Dunia

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free visitor counters

Dira ya Ramani

Wasiliana Nasi

    TONGWE - MAJALILA

    Sanduku la barua: S.L.P 01 KATAVI - TANGANYIKA

    Telephone: +255-252955264

    Simu ya mkononi: 0754870344

    Barua pepe: ded@tanganyikadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Sitemap
    • Huduma
    • Test

Copyright ©2018 Tanganyika-DC . All rights reserved.