• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe ya ofisi |
Tanganyika District Council
Tanganyika District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tanganyika District Council

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasissi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu, ufuatiliaji na Uchumi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Elimu Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Kitengo
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Miradi ya Elimu
    • Usafirishaji
    • Ufugaji Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Leseni za Biashara
    • Uvuvi
    • Ufugaji Nyuki
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Matumizi Bora ya Ardhi
    • Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Kitaifa
    • Video za Shughuli za Halmashauri
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Gazeti la Mpanda Leo
    • Makala Mbalimbali

DC JAMILA AHIMIZA UPANDAJI NA UTANZAJI WA MITI

Posted on: January 24th, 2023



DC JAMILA AHIMIZA UPANDAJI NA UTUNZAJI WA MITI HALMASHAURI YA WILAYA TANGANYIKA.


Mkuu wa wilaya ya Mpanda Jamila Yusuf leo Januari 24,2023 amewaongoza wakazi wa halmashauri ya wilaya ya Tanganyika katika uzinduzi wa zoezi la upandaji miti katika shule ya sekondari Majalila ikiwa ni mwendelezo wa upandaji Miti milioni 2,014,000 katika Halmashauri hiyo.


DC Jamila amesema Serikali kupitia Ofisi ya Rais ikishirikiana na Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira imeendelea kuratibu utekelezaji wa kampeni ya kitaifa ya upandaji na utunzaji wa miti inayotekelezwa nchini kwa kila Halmashauri kupanda miti milioni 1.5 kila mwaka.


Amesema "kila Halmashauri imewekewa malengo ya kupanda miti isiyopungua Milioni 1.5 kwa mwaka 2022/23 na kuhakikisha maeneo yote yaliyotengwa katika shughuli za uhifadhi yanahifadhiwa kikamilifu kwa mujibu wa sheria ili kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi yanayoukabili ulimwengu kwa sasa".


Sambamba na hayo Jamila ameagiza kuchukuliwa hatua kwa yeyote atakayekamatwa akiharibu mazingira huku akionya siasa kutoingizwa kwenye suala zima la utunzaji wa mazingira.


"Yeyote anayeleta hitilafu, uharibifu wa mazingira asiangaliwe usoni, hata kama ni Kiongozi mwenzetu awajibishwe kwa mujibu wa sheria"


Kupitia hafla hiyo, DC Jamila ametoa wito kwa Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika,Wakala wa Misitu (TFS) na Wakala wa Maji vijijini (RUWASA) kuainisha maeneo yote ya vyanzo vya maji kisha iwekwe mikakati ya kupanda miti kuzunguka vyanzo hivyo.


Awali akitoa taarifa kwa mgeni rasmi katika hafla hiyo, Afisa maliasili na utalii Wilaya ya Tanganyika, Bruno Nicolaus amesema jumla ya miche milioni 2.14 ya miche ya matunda, Kivuli na mbao ilioteshwa mwaka 2022 kwa ajili ya kupandwa katika maeneo mbalimbali ya Halmashauri hiyo.


Mkoa wa Katavi leo Januari 24,2023 umezindua zoezi la upandaji Miti litakalofanyika kila Halmashauri ambapo kilele chake kitahitimishwa Manispaa ya Mpanda tarehe 26,2023 ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mhe. Mwanamvua Mrindoko.

Matangazo

  • WALIOITWA KWENYE USAILI WA NAFASI YA WATENDAJI WA KIJIJI III July 07, 2022
  • WALIOITWA KWENYE USAILI WA NAFASI ZA DEREVA II, KATIBU MAHSUSI III NA WATENDAJI WA KIJIJI III July 07, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA TANGANYIKA July 16, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA TANGANYIKA July 16, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • TANGANYIKA YAWEKA MIKAKATI KUONGEZA VYANZO VYA MAPATO

    February 01, 2023
  • DC JAMILA AHIMIZA UPANDAJI NA UTANZAJI WA MITI

    January 24, 2023
  • Kamati ya Siasa CCM Wilaya ya Tanganyika yawataka watumishi kusimamia Ilani

    January 23, 2023
  • Kamati ya Siasa CCM Wilaya ya Tanganyika yawataka watumishi kusimamia Ilani

    January 23, 2023
  • Tazama zote

video

DC wa Tanganyika asisitiza michezo katika kata ya Bulamata
Video nyingine

Mawasiliano ya Haraka

  • Taarifa kwa Umma
  • Orodha ya Madiwani
  • WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA HALMASHAURI YA TANGANYIKA
  • Gazeti la Mpanda Leo
  • Habari Mpya
  • Mwanzo
  • Matukio
  • Matangazo

Kurasa zinazofanana

  • Tovuti ya Ikuli
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi Tanzania
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti kuu ya Serikali

Wasomaji Mbalimbali Dunia

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free visitor counters

Dira ya Ramani

Wasiliana Nasi

    TONGWE - MAJALILA

    Sanduku la barua: S.L.P 01 KATAVI - TANGANYIKA

    Telephone: +255-252955264

    Simu ya mkononi: 0754870344

    Barua pepe: ded@tanganyikadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Sitemap
    • Huduma
    • Test

Copyright ©2018 Tanganyika-DC . All rights reserved.