• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe ya ofisi |
Tanganyika District Council
Tanganyika District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tanganyika District Council

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasissi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu, ufuatiliaji na Uchumi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Elimu Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Kitengo
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Miradi ya Elimu
    • Usafirishaji
    • Ufugaji Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Leseni za Biashara
    • Uvuvi
    • Ufugaji Nyuki
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Matumizi Bora ya Ardhi
    • Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Kitaifa
    • Video za Shughuli za Halmashauri
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Gazeti la Mpanda Leo
    • Makala Mbalimbali

DC BUSWELU AFANYA ZIARA KUHAMASISHA USHIRIKI WA UCHAGUZI MKUU TAREHE 29 OKTOBA KWA AMANI

Posted on: October 23rd, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Tanganyika, Mhe. Onesmo Buswelu, ameendelea na ziara yake kijiji kwa kijiji akihamasisha wananchi kujitokeza kwa wingi kushiriki uchaguzi mkuu utakaofanyika tarehe 29 Oktoba 2025.

Katika ziara hiyo, Mhe. Buswelu amewakumbusha wananchi wa kujiji cha Ngomalusambwa, Mchakamchaka na Igagala umuhimu wa kutumia haki yao ya kupiga kura kwa kuwachagua Madiwani, Wabunge na Rais wanaofaa kuleta maendeleo katika jamii zao.

Aidha, amewahimiza wakulima kutumia mbegu bora na pembejeo sahihi ili kuongeza tija katika kilimo, hasa katika kipindi hiki cha maandalizi ya msimu mpya. Amesema kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameidhinisha ruzuku ya mbegu zinazopatikana kwa bei nafuu ya shilingi 7,000 tu, hatua itakayowawezesha wakulima wengi kuongeza uzalishaji.

Pia, Mhe. Buswelu amekagua miradi ya maendeleo, ikiwemo ujenzi wa zahanati za Mchakamchaka na Ngomalusambwa, ambapo ameahidi ofisi ya Mkuu wa Wilaya kuchangia mifuko 10 ya saruji kusaidia ujenzi wa vyoo katika zahanati hizo. Amewataka pia wakandarasi kusimamia miradi kwa umakini ili ikamilike kwa wakati na kwa ubora unaotakiwa.

Kwa upande mwingine, ameeleza kuwa serikali imetenga fedha katika mwaka huu wa fedha kwa ajili ya kutatua changamoto za daraja la Ngomalusambwa, daraja la Igagala na barabara za Mchakamchaka, ambazo zimekuwa kero kubwa kwa wananchi wa maeneo hayo.

Matangazo

  • WALIOITWA KWENYE USAILI WA NAFASI YA WATENDAJI WA KIJIJI III July 07, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA May 27, 2025
  • WALIOITWA KWENYE USAILI WA NAFASI ZA DEREVA II, KATIBU MAHSUSI III NA WATENDAJI WA KIJIJI III July 07, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA TANGANYIKA July 16, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • MAKARANI WAONGOZAJI WA VITUO VYA KUPIGA KURA WAPATIWA MAFUNZO TANGANYIKA

    October 25, 2025
  • DC BUSWELU AFANYA ZIARA KUHAMASISHA USHIRIKI WA UCHAGUZI MKUU TAREHE 29 OKTOBA KWA AMANI

    October 23, 2025
  • TARURA WAAGIZWA KUKAMILISHA HARAKA DARAJA LA SILONGE, KIKWAZO KWA WANANCHI.

    October 20, 2025
  • Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Maendeleo ya Mazao , Wizara ya Kilimo Aongoza Mafunzo kwa Wakulima Kata ya Kasekese, Halmashauri wilaya ya Tanganyika.

    October 15, 2025
  • Tazama zote

video

MILIONI 328 KUKAMILISHA UJENZI WA OFISI ZA TFS TANGANYIKA, DC BUSWELU ASISITIZA UBORA WA MAJENGO.
Video nyingine

Mawasiliano ya Haraka

  • Taarifa kwa Umma
  • Orodha ya Madiwani
  • WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA HALMASHAURI YA TANGANYIKA
  • Gazeti la Mpanda Leo
  • Habari Mpya
  • Mwanzo
  • Matukio
  • Matangazo

Kurasa zinazofanana

  • Tovuti ya Ikuli
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi Tanzania
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti kuu ya Serikali

Wasomaji Mbalimbali Dunia

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free visitor counters

Dira ya Ramani

Wasiliana Nasi

    TONGWE - MAJALILA

    Sanduku la barua: S.L.P 01 KATAVI - TANGANYIKA

    Telephone: +255-252955264

    Simu ya mkononi: 0754870344

    Barua pepe: ded@tanganyikadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Sitemap
    • Huduma
    • Test

Copyright ©2018 Tanganyika-DC . All rights reserved.