• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe ya ofisi |
Tanganyika District Council
Tanganyika District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tanganyika District Council

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasissi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu, ufuatiliaji na Uchumi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Elimu Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Kitengo
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Miradi ya Elimu
    • Usafirishaji
    • Ufugaji Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Leseni za Biashara
    • Uvuvi
    • Ufugaji Nyuki
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Matumizi Bora ya Ardhi
    • Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Kitaifa
    • Video za Shughuli za Halmashauri
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Gazeti la Mpanda Leo
    • Makala Mbalimbali

COMRADE KAWAIDA: MHE RAIS AMENIAGIZA NIFIKE KASEKESE, KUTEMBELEA MRADI WA BARABARA & KUZUNGUMZA NA VIJANA.

Posted on: June 13th, 2025

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Vijana ya Chama cha Mapinduzi- CCM Taifa, Ndg Comrade Mohamed Ali Kawaida, amefanya ziara ya siku moja katika Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika kwa kutembelea na kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa Wilayani hapa.


Miradi iliyotembelewa na Comrade Kawaida aliyeambatana na Uongozi wa CCM Mkoa, Wilaya na Kata ya Kasekese, alitembelea ujenzi wa Barabara ya kiwango cha Lami kutoka Kagwila, Karema-Ikola yenye urefu wa 130km, kwa gharama ya Shilingi Bilioni 112.


Pia alipata fursa ya kutembelea mradi wa vijana wa ghala la kutunza na kuuza mazao, pamoja na mashine ya kukobolea mpunga, amapo kikundi hicho kilipatiwa mkopo wa 10% wa mapato ya ndani wenye thamani ya Shilingi Milioni 61 kutoka Halmashauri.


“Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ameniagiza nikifika Katavi,nifike hapa Kasekese kwa mambo mawili, moja kuwapa salam zake, na pili kuangalia utekelezaji wa mradi huu wa Barabara ikiwa ni ahadi yake aliyoitoa alipofanya ziara mkoani humu, nimeridhishwa na kasi ya ujenzi” Comrade Kawaida.


“Niwapongeze Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika kwa kuendelea kutoa mikopo ya 10% kwa vijana, wanawake na watu wenye ulemavu. Nimeambiwa hapa kikundi hiki kimepatiwa Mil 61, sio rahisi kwa sababu nimetembelea Halmashauri nyingine nimekuta wanapewa Milion moja au mbili, kwa pesa hiyo unafanya biashara gani?”


Ziara hiyo ni ya siku moja ambapo imehitimishwa kwa Mwenyekiti wa UVCCM kuzungumza na vijana pamoja na wananchi wa Kata ya Kasekese na Wilaya ya Tanganyika kwa ujumla, na kuwaeleza mambo makubwa yanayofanya na Serikali ya awamu ya sita chini ya Mhe Rais Dkr Samia Suluhu Hassan.

Matangazo

  • WALIOITWA KWENYE USAILI WA NAFASI YA WATENDAJI WA KIJIJI III July 07, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA May 27, 2025
  • WALIOITWA KWENYE USAILI WA NAFASI ZA DEREVA II, KATIBU MAHSUSI III NA WATENDAJI WA KIJIJI III July 07, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA TANGANYIKA July 16, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • DED TANGANYIKA AAGIZA UKAMILISHWAJI WA MIRADI| WANANCHI WATAKIWA KUJITOKEZA KWA WINGI KUUPOKEA MWENGE WA UHURU.

    July 11, 2025
  • UJENZI WA MELI NNE (4) BANDARI YA KAREMA WAFIKIA HATUA NZURI| DC BUSWELU AFIKA KUJIONEA MAKAA YA MAWE.

    July 10, 2025
  • JUMIMINTA YAWAKUTANISHA WADAU WA UHIFADHI MISITU, MIRADI INAYOTEKELEZWA VIJIJINI IKAMILIKE KWA WAKATI IHUDUMIE WANANCHI.

    July 02, 2025
  • RAIS SAMIA ASHANGILIWA UKANDA WA MISHAMO, DC BUSWELU MSTARI WA MBELE UKAGUZI WA MIRADI, KUHAKIKISHA INATEKELEZWA NA KUKAMILIKA.

    July 04, 2025
  • Tazama zote

video

MILIONI 328 KUKAMILISHA UJENZI WA OFISI ZA TFS TANGANYIKA, DC BUSWELU ASISITIZA UBORA WA MAJENGO.
Video nyingine

Mawasiliano ya Haraka

  • Taarifa kwa Umma
  • Orodha ya Madiwani
  • WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA HALMASHAURI YA TANGANYIKA
  • Gazeti la Mpanda Leo
  • Habari Mpya
  • Mwanzo
  • Matukio
  • Matangazo

Kurasa zinazofanana

  • Tovuti ya Ikuli
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi Tanzania
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti kuu ya Serikali

Wasomaji Mbalimbali Dunia

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free visitor counters

Dira ya Ramani

Wasiliana Nasi

    TONGWE - MAJALILA

    Sanduku la barua: S.L.P 01 KATAVI - TANGANYIKA

    Telephone: +255-252955264

    Simu ya mkononi: 0754870344

    Barua pepe: ded@tanganyikadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Sitemap
    • Huduma
    • Test

Copyright ©2018 Tanganyika-DC . All rights reserved.