• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe ya ofisi |
Tanganyika District Council
Tanganyika District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tanganyika District Council

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasissi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu, ufuatiliaji na Uchumi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Elimu Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Kitengo
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Madini
    • Miradi ya Elimu
    • Usafirishaji
    • Ufugaji Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Leseni za Biashara
    • Uvuvi
    • Ufugaji Nyuki
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Matumizi Bora ya Ardhi
    • Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Kitaifa
    • Video za Shughuli za Halmashauri
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Gazeti la Mpanda Leo
    • Makala Mbalimbali

KMCL KUWAINUA KIUCHUMI WACHIMBAJI WADOGO

Posted on: March 2nd, 2021

KMCL KUWAINUA WACHIMBAJI WADOGO KATAVI

Mgodi wa Katavi (KMCL) kuwainua kiuchumi zaidi wachimbaji wadogowadogo wote wa mkoani katavi kwa kununua mabaki ya madini. Wachimbaji wadogo ambao wamekuwa wananufaika na kiasi kidogo sana cha madini kutokana na kutumia dhana za kizamani katika shughuli zao za mchakato wa kupata madini. Wamekuwa wanapata kati ya asilimia 25 hadi 30 ya madini baada ya kuchenjua na kutupa mabaki yenye madini kati ya asilimia 70 hdi 75.

Kwa kuwa kampuni ya Katavi mining Co. Limited inatumia mitambo ya kisasa yenyeuwezo wa kuchenjua yale mabaki yote wanayotupa wachimbaji wadogowadogo na kuweza kuyaongezea thamani na kuuzika nje ya nchi, wameona ni bora waruhusiwe kuyanunua kutoka kwa wachimbaji wadogo.

Kikwazo kikubwa cha KMCL ni sheria ya madini na miongozo yake ambayo inawabana. Baada ya KMCL kuwasilisha changamoto hiyo, waziri wa Nchi Ofisi ya Rais uwekezaji, Mhe. Prof. Kitila Mkumbo amemwagiza Mkuu wa mkoa wa Katavi kuhakikisha analisimamia hilo kwa kushirikiana na watu wa madini mkoani Katavi. Tayari ofisi ya madini ipo tayari kutoa ushirikiano na KMCL wameshauriwa kuandika barua ya kuonesha nia ya kufanya biashara hiyo ya mabaki ya madini.

Aidha, baada ya mchakato kukaa sawa ni kwamba wachimbaji wa madini katika maeneo ya Katuma, Mwese, Kapalamsenga na Mnyagala watanufaika na kukuza uchumi wa wahusika. Halmashauri ya wilaya ya Tanganyika imekuwa ikinufaika na kiasi kidogo sana cha makusanyo ya mapato ya ndani yanayotokana na uchimbaji wa madini. Endapo utaratibu wa kuongezeka kwa ununuzi wa mabakia ya madini hayo utaenda kama ulivyopangwa ni matumaini makubwa kwa wananchi kunufaika zaidi.

Hata hivyo muwekezaji wa mgodi wa KMCL ameonesha nia ya kuja na wawekezaji wengi wa kuchimba madini kuja mkoani Katavi. Tanganyika inayo maeneo mengi ambayo kuna madini na wanahitajika wawekezaji zaidi wenye uwezo wa kuchimba kwa njia za kisasa zaidi.

Matangazo

  • WALIOITWA KWENYE USAILI WA NAFASI YA WATENDAJI WA KIJIJI III July 07, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA May 27, 2025
  • WALIOITWA KWENYE USAILI WA NAFASI ZA DEREVA II, KATIBU MAHSUSI III NA WATENDAJI WA KIJIJI III July 07, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA TANGANYIKA July 16, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • UKUSANYAJI WA KODI WAPAA TANGANYIKA – DC: 'NDIYO NJIA PEKEE YA KULETA MAENDELEO'

    May 27, 2025
  • UKUSANYAJI WA KODI WAPAA TANGANYIKA – DC: 'NDIYO NJIA PEKEE YA KULETA MAENDELEO'

    May 27, 2025
  • HALMASHAURI ZA WILAYA YA MOMBA NA MAKETE ZAKUTANA WILAYANI TANGANYIKA KUJIFUNZA BIASHARA YA KABONI.

    May 26, 2025
  • TANGANYIKA KUENDELEA KUWEKA MIKAKATI KUBORESHA SUALA LA LISHE, WAKUU WA IDARA YA ELIMU NA WAKUU WA SHULE WAPEWA MBINU KUSIMAMIA UPATIKANAJI CHAKULA MASHULENI.

    May 13, 2025
  • Tazama zote

video

MILIONI 328 KUKAMILISHA UJENZI WA OFISI ZA TFS TANGANYIKA, DC BUSWELU ASISITIZA UBORA WA MAJENGO.
Video nyingine

Mawasiliano ya Haraka

  • Taarifa kwa Umma
  • Orodha ya Madiwani
  • WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA HALMASHAURI YA TANGANYIKA
  • Gazeti la Mpanda Leo
  • Habari Mpya
  • Mwanzo
  • Matukio
  • Matangazo

Kurasa zinazofanana

  • Tovuti ya Ikuli
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi Tanzania
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti kuu ya Serikali

Wasomaji Mbalimbali Dunia

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free visitor counters

Dira ya Ramani

Wasiliana Nasi

    TONGWE - MAJALILA

    Sanduku la barua: S.L.P 01 KATAVI - TANGANYIKA

    Telephone: +255-252955264

    Simu ya mkononi: 0754870344

    Barua pepe: ded@tanganyikadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Sitemap
    • Huduma
    • Test

Copyright ©2018 Tanganyika-DC . All rights reserved.